CWT yaanza kusambaza ujumbe wa simu (sms) za mgomo kwa walimu nchi nzima

Waalimu mmepata div four zenu mkapewa kazi ili msife njaa bado mnalalamika. Ktk sekta inayoongoza kuwa na failure wengi ni ualimu. Mkifukuzwa ualimu mtaenda wapi? Wengine ni Waalimu UPE, nao wanadai fadhila. Kufundisha hamfundishi, mnadai maslahi. Gomeeni muone, tunawafuta kazi mkalime.

vizuri sana mkuu!
 
Siwaungi mkono kwani ualimu ni wito kwa sasa,we huoni wanaosomea ualimu ni waliofeli form4&6?hilo ni chaka la vilaza,tena hyo wanayolipwa ni nying sana ingepunguzwa

nakuunga mkono mkuu.
 
Siwaamin hata kidogo CWT,coz watu wakichanganya utasikia ooooh..tumeongea na Serikali..sasa wao watangaze siku watu watagoma coz wameshachoka...!!!namtafuta sana Mukuba..anatuzingua tunaosikia kelele zake..!
"Vox populi,Vox dei"
 
Amini usiamini taifa letu litapata mapinduzi ya kweli kama walimu hasa wa shule za msingi watatoka usingizini walimo sasa hivi. Hili ni kundi muhimu sana kwa mapinduzi ya kweli Tanzania

dah!yan kama kundi muhimu ndio hili ambao wamekosa crdt za kuingilia advanc na chuo basi tz imeoza na inanuka
 
Ualimu ni wito jamani ni kazi ya kujitolea kama jkt,na hiyo ni motisha tu mnayopewa sio mishahara..!sasa wewe dokta kapata div1 ya pcb we umepata dv4 ya hkl alafu unataka mlipwe sawa huo utakuwa uchizi sio bure
 
HEBU TIZAMA TOFAUTI HII YA KUTISHA YA VIWANGO VYA MISHAHARA KWA WATUMISHI WA UMMA WA TZ! (Ajira mpya cheti)

Mwl 244,400/= Afya 472,000/= Kilimo/mifugo 959,400/= Sheria 630,000/=


Diploma mwl 325,700/= Afya 682,000/= KLM/MFG 1,133,600/= sheria 871,500/=


degree mwl 469,200/= Afya 802,200/= Klm/MFG 1,354,000/= Sheria 1,166,000/= Je upo tayari kuvumilia kunyanyaswa hivo katika utumishi wa umma wa taifa moja lenye soko la bidhaa lililo na mfumuko wa bei wa kutisha? Ungana na Cwt kudai nyongeza ya mishahara 100%, Teaching allowance hardship allowance. Wape sms hii walimu 20 tu! Mshikamano daima.

Duh! ALAFU WOTE HAWA WAMEFUNDISHWA NA WALIMU.

AKILI NDOGO KUONGOZA AKILI KUBWA NDIO HUKU
 
Waalimu wenyewe hawana ethics za ualimu, mwalimu amevaa mlege anadai maslahi. Wanatuharibia mabinti zetu wanadai maslahi. Hawafundishi, watoto wanazidiana kwa kufeli wanadaia maslahi. Wengine ni vihiyo, hawajui kitu wanadai maslahi. Gomeni muone.
 
Waalimu wenyewe hawana ethics za ualimu, mwalimu amevaa mlege anadai maslahi. Wanatuharibia mabinti zetu wanadai maslahi. Hawafundishi, watoto wanazidiana kwa kufeli wanadaia maslahi. Wengine ni vihiyo, hawajui kitu wanadai maslahi. Gomeni muone.

watajutaJE?
Maji wataita mma!
 
HEBU TIZAMA TOFAUTI HII YA KUTISHA YA VIWANGO VYA MISHAHARA KWA WATUMISHI WA UMMA WA TZ! (Ajira mpya cheti)

Mwl 244,400/= Afya 472,000/= Kilimo/mifugo 959,400/= Sheria 630,000/=


Diploma mwl 325,700/= Afya 682,000/= KLM/MFG 1,133,600/= sheria 871,500/=


degree mwl 469,200/= Afya 802,200/= Klm/MFG 1,354,000/= Sheria 1,166,000/= Je upo tayari kuvumilia kunyanyaswa hivo katika utumishi wa umma wa taifa moja lenye soko la bidhaa lililo na mfumuko wa bei wa kutisha? Ungana na Cwt kudai nyongeza ya mishahara 100%, Teaching allowance hardship allowance. Wape sms hii walimu 20 tu! Mshikamano daima.

msiwapotoshe wenzenu,wakalie ncha ya upanga waone!
 
Nyie walimu mi huwa siwaaminii kabisa!mnapenda ku beep sio kama madaktari nyie hamna mshikamano kabisa japo mko wengi kazi kulia lia tu na tatizo nyie wengi ni ccm!!!
 
Nyie walimu mi huwa siwaaminii kabisa!mnapenda ku beep sio kama madaktari nyie hamna mshikamano kabisa japo mko wengi kazi kulia lia tu na tatizo nyie wengi ni ccm!!!

kumbe wengi wao gambas, c kwamba ni waupe?
 
tatizo waimu wetu waoga sn sijui ni mazingira yao ya kaz au sehem walizokulia. Hua hawana msimamo mwanzo mwisho.
 
Waalimu mmepata div four zenu mkapewa kazi ili msife njaa bado mnalalamika. Ktk sekta inayoongoza kuwa na failure wengi ni ualimu. Mkifukuzwa ualimu mtaenda wapi? Wengine ni Waalimu UPE, nao wanadai fadhila. Kufundisha hamfundishi, mnadai maslahi. Gomeeni muone, tunawafuta kazi mkalime.

Wewe jamaa upo nchi gani,watu wana maasira wewe unaleta utani unataka muendelee kutawala tanzania kisultani kwa kusomesha watoto wenu nje sisi watoto wetu wabaki bila elimu,ikifika ajira mnaajiri majina yaleyale kisa wamesoma nje ya nchi,tumechoka kutawaliwa tunataka kujitawala hivyo walimu nao wasikilizwe watusomeshee watoto wetu,kwanza nawashauri walimu wagomee kusimamia sensa pia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom