Brightman Jr
JF-Expert Member
- Mar 22, 2009
- 1,225
- 232
Siwaungi mkono kwani ualimu ni wito kwa sasa,we huoni wanaosomea ualimu ni waliofeli form4&6?hilo ni chaka la vilaza,tena hyo wanayolipwa ni nying sana ingepunguzwa
Acha kupanua domo lako ww hivi hujui kwamba wapo walimu wamesoma mpaka ngazi ya PhD? Nao hao wote ni div 4? Fikiri kabla, kwani hakuna manesi na matabibu ambao ni std vii? Mtu mzima hovyooo.....!