iPad ya Apple
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 322
- 126
Mada juu ya jieleza, Walimu wakenya waliweza kugoma hadi serikali yao ikatii sheria kwa shuruti.Ikatekeleza Madai yao baada ya mgomo wa wiki mbili na ushee.Sasa tunaona mwendo mdundo huko Uganda sasa ni mwezi mmoja na ushee walimu wamegomaPamoja na kwamba mahakama imezuia mgomo Kama ilivyokuwa kwa wakenya.Sasa Tz tatizo ni nini? Mbona mgomo wa walimu hapa bongo ulitake less than a wiki na walimuWakarudi class bila kutimiziwa Madai yao.Chama cha Walimu Tanzania kuna kitu wanachojifunz kweli kutoka kwa vyama vya walimu Kenya na Uganda?