Walimu kama watoto!
Acha dharau ww? Mwalimu ndiye aliyefanya ww uchangie hapa JF.
Acha dharau ww? Mwalimu ndiye aliyefanya ww uchangie hapa JF.
Walimu kama watoto!
kwa hili sawa but la kwanza umepotoka mkuu...Sio dharau kijana, tatizo hawana mshikamano, they are NOT focused and divided. Kujikomboa ni shughuri.
Mie wananiudhi, hawana msimamo kabsaaa!!
kwa hili sawa but la kwanza umepotoka mkuu...
Pumbavu wewe,umesomea wapi? ulifundishwa na nani mpaka unaandika hapa? kuku wewe.Walimu kama watoto!
Sio dharau kijana, tatizo hawana mshikamano, they are NOT focused and divided. Kujikomboa ni shughuri.