Japhet Maganga mwizi aliyeiba meno Chama Cha Walimu

Maryam Malya

Senior Member
Nov 29, 2021
115
258
Mwaka huu Chama cha Walimu (CWT) kikiwa kinatimiza miaka 30 tangu kuanzishwa kwake, kimekosa mdomo sahihi wa kuwasemea na kuwasaidia walimu wake sababu tu ya uongozi mbovu unaowanufaisha watu wachache ambao wanaongozwa na Japhet Maganga.

Tangu awe Katibu Mkuu wa CWT Japhet Maganga ameshindwa kuleta umoja na ushirikiano baina ya Walimu kwa Walimu hasa wa tabaka la chini zaidi ametengeneza tabaka kubwa kati ya Walimu wenye nafasi CWT na wasiokua na nafasi kabisa, hii imepelekea hadi Walimu kuanzisha chama kingine.

Maganga ameamua kuunda genge lake maalum kwenye chombo cha Kamati Tendaji Taifa ya CWT, ambao wajumbe wake wengi wanatokea mikoani na wilayani.

Maganga amekua akiwabrain wash wajumbe wa Kamati Tendaji Taifa hasa wanaotokea mikoani, amekua akiwapa pesa za mara kwa mara ambazo ni kinyume na utararibu wa kiofisi ukizingatia wana mishahara yao, mfano kuelekea Siku ya Mwalimu Duniani, Maganga ametoa Posho za Shilingi Milioni 10 kwa Wajumbe wa Kamati Tendaji wote (Makatibu na Wenyeviti wa CWT) mikoani na wilayani bila sababu ya msingi wakati kuna sherehe moja ya kitaifa inayoandaaliwa Makao Makuu na walimu watashiriki.

Hivyo Maganga mpaka sasa alichokifanya kuigawa Kamati Tendaji Taifa ya CWT na kuchukua Robo Tatu ya wajumbe wake ambao wameingia kwenye mfumo wake na wanafaidika kupitia yeye na hivyo tusitegemee Maganga kuadhibiwa au kuchukuliwa hatua na Kamati Tendaji ya CWT kwa sababu Akidi yote ameikamata, hivyo ni sawa na kusema Maganga ni mwizi aliyeiba meno ya Chama Cha Walimu.
 
Hiki chama kinalalamikiwa kila siku, mkiambiwa achaneni nacho hamtaki mmo tu sasa sijui mnataka tuwasaidiaje yaani

Chama chochote kuwa na nguvu ni wanachama. Unadhani kundi la waalimu 200,000 likijitoa cwt kutakuwa na nini?
 
Kila siku anakuja na mada zenye maudhui yale yale. Sijajua ni kwa nini wanashindwa kumkabili huyo Japhet Maganga huko kwenye chama chao. Sijui wanamuogopa!!!
Anakiona hiki kama kichaka lakini hamsaidii maganga wala chama. Panda na ushahidi ujionee watu watakavyoamka nae
 
Mwaka huu Chama cha Walimu (CWT) kikiwa kinatimiza miaka 30 tangu kuanzishwa kwake, kimekosa mdomo sahihi wa kuwasemea na kuwasaidia walimu wake sababu tu ya uongozi mbovu unaowanufaisha watu wachache ambao wanaongozwa na Japhet Maganga.

Tangu awe Katibu Mkuu wa CWT Japhet Maganga ameshindwa kuleta umoja na ushirikiano baina ya Walimu kwa Walimu hasa wa tabaka la chini zaidi ametengeneza tabaka kubwa kati ya Walimu wenye nafasi CWT na wasiokua na nafasi kabisa, hii imepelekea hadi Walimu kuanzisha chama kingine.

Maganga ameamua kuunda genge lake maalum kwenye chombo cha Kamati Tendaji Taifa ya CWT, ambao wajumbe wake wengi wanatokea mikoani na wilayani.

Maganga amekua akiwabrain wash wajumbe wa Kamati Tendaji Taifa hasa wanaotokea mikoani, amekua akiwapa pesa za mara kwa mara ambazo ni kinyume na utararibu wa kiofisi ukizingatia wana mishahara yao, mfano kuelekea Siku ya Mwalimu Duniani, Maganga ametoa Posho za Shilingi Milioni 10 kwa Wajumbe wa Kamati Tendaji wote (Makatibu na Wenyeviti wa CWT) mikoani na wilayani bila sababu ya msingi wakati kuna sherehe moja ya kitaifa inayoandaaliwa Makao Makuu na walimu watashiriki.

Hivyo Maganga mpaka sasa alichokifanya kuigawa Kamati Tendaji Taifa ya CWT na kuchukua Robo Tatu ya wajumbe wake ambao wameingia kwenye mfumo wake na wanafaidika kupitia yeye na hivyo tusitegemee Maganga kuadhibiwa au kuchukuliwa hatua na Kamati Tendaji ya CWT kwa sababu Akidi yote ameikamata, hivyo ni sawa na kusema Maganga ni mwizi aliyeiba meno ya Chama Cha Walimu.
Acha majungu, pambana na wewe kutafuta fursa!
Tumechoshwa humu na lawama dhidi ya huyu mtu Japhet Maganga!
 
Mwaka huu Chama cha Walimu (CWT) kikiwa kinatimiza miaka 30 tangu kuanzishwa kwake, kimekosa mdomo sahihi wa kuwasemea na kuwasaidia walimu wake sababu tu ya uongozi mbovu unaowanufaisha watu wachache ambao wanaongozwa na Japhet Maganga.

Tangu awe Katibu Mkuu wa CWT Japhet Maganga ameshindwa kuleta umoja na ushirikiano baina ya Walimu kwa Walimu hasa wa tabaka la chini zaidi ametengeneza tabaka kubwa kati ya Walimu wenye nafasi CWT na wasiokua na nafasi kabisa, hii imepelekea hadi Walimu kuanzisha chama kingine.

Maganga ameamua kuunda genge lake maalum kwenye chombo cha Kamati Tendaji Taifa ya CWT, ambao wajumbe wake wengi wanatokea mikoani na wilayani.

Maganga amekua akiwabrain wash wajumbe wa Kamati Tendaji Taifa hasa wanaotokea mikoani, amekua akiwapa pesa za mara kwa mara ambazo ni kinyume na utararibu wa kiofisi ukizingatia wana mishahara yao, mfano kuelekea Siku ya Mwalimu Duniani, Maganga ametoa Posho za Shilingi Milioni 10 kwa Wajumbe wa Kamati Tendaji wote (Makatibu na Wenyeviti wa CWT) mikoani na wilayani bila sababu ya msingi wakati kuna sherehe moja ya kitaifa inayoandaaliwa Makao Makuu na walimu watashiriki.

Hivyo Maganga mpaka sasa alichokifanya kuigawa Kamati Tendaji Taifa ya CWT na kuchukua Robo Tatu ya wajumbe wake ambao wameingia kwenye mfumo wake na wanafaidika kupitia yeye na hivyo tusitegemee Maganga kuadhibiwa au kuchukuliwa hatua na Kamati Tendaji ya CWT kwa sababu Akidi yote ameikamata, hivyo ni sawa na kusema Maganga ni mwizi aliyeiba meno ya Chama Cha Walimu.
Mkuu weka picha ya maganga tumuonee...
 
Twitter upo naye, utakuwa ulijipeleka jamaa akakutosa mjinga wewe, nyie wanawake wambeya kama wewe ndiyo maana mnazalishwa bila kuolewa, acha mtu apige pesa kama una ushahidi peleka mahakamani. shame on you
 
Mwaka huu Chama cha Walimu (CWT) kikiwa kinatimiza miaka 30 tangu kuanzishwa kwake, kimekosa mdomo sahihi wa kuwasemea na kuwasaidia walimu wake sababu tu ya uongozi mbovu unaowanufaisha watu wachache ambao wanaongozwa na Japhet Maganga.

Tangu awe Katibu Mkuu wa CWT Japhet Maganga ameshindwa kuleta umoja na ushirikiano baina ya Walimu kwa Walimu hasa wa tabaka la chini zaidi ametengeneza tabaka kubwa kati ya Walimu wenye nafasi CWT na wasiokua na nafasi kabisa, hii imepelekea hadi Walimu kuanzisha chama kingine.

Maganga ameamua kuunda genge lake maalum kwenye chombo cha Kamati Tendaji Taifa ya CWT, ambao wajumbe wake wengi wanatokea mikoani na wilayani.

Maganga amekua akiwabrain wash wajumbe wa Kamati Tendaji Taifa hasa wanaotokea mikoani, amekua akiwapa pesa za mara kwa mara ambazo ni kinyume na utararibu wa kiofisi ukizingatia wana mishahara yao, mfano kuelekea Siku ya Mwalimu Duniani, Maganga ametoa Posho za Shilingi Milioni 10 kwa Wajumbe wa Kamati Tendaji wote (Makatibu na Wenyeviti wa CWT) mikoani na wilayani bila sababu ya msingi wakati kuna sherehe moja ya kitaifa inayoandaaliwa Makao Makuu na walimu watashiriki.

Hivyo Maganga mpaka sasa alichokifanya kuigawa Kamati Tendaji Taifa ya CWT na kuchukua Robo Tatu ya wajumbe wake ambao wameingia kwenye mfumo wake na wanafaidika kupitia yeye na hivyo tusitegemee Maganga kuadhibiwa au kuchukuliwa hatua na Kamati Tendaji ya CWT kwa sababu Akidi yote ameikamata, hivyo ni sawa na kusema Maganga ni mwizi aliyeiba meno ya Chama Cha Walimu.
Kama kawakamata wajumbe basi uongozi anaujua.

Mitano tena.
 
Anakiona hiki kama kichaka lakini hamsaidii maganga wala chama. Panda na ushahidi ujionee watu watakavyoamka nae
Hana ushahidi huyu ajuza mpaka tumemchoka akiamka ni Maganga alianza na Mbowe akashindwa akahamia kwa Maganga, mjinga mkubwa sahivi ana miaka 46 hana ndoa kazalishwa watoto watatu wana baba watatu.
 
Mwaka huu Chama cha Walimu (CWT) kikiwa kinatimiza miaka 30 tangu kuanzishwa kwake, kimekosa mdomo sahihi wa kuwasemea na kuwasaidia walimu wake sababu tu ya uongozi mbovu unaowanufaisha watu wachache ambao wanaongozwa na Japhet Maganga.

Tangu awe Katibu Mkuu wa CWT Japhet Maganga ameshindwa kuleta umoja na ushirikiano baina ya Walimu kwa Walimu hasa wa tabaka la chini zaidi ametengeneza tabaka kubwa kati ya Walimu wenye nafasi CWT na wasiokua na nafasi kabisa, hii imepelekea hadi Walimu kuanzisha chama kingine.

Maganga ameamua kuunda genge lake maalum kwenye chombo cha Kamati Tendaji Taifa ya CWT, ambao wajumbe wake wengi wanatokea mikoani na wilayani.

Maganga amekua akiwabrain wash wajumbe wa Kamati Tendaji Taifa hasa wanaotokea mikoani, amekua akiwapa pesa za mara kwa mara ambazo ni kinyume na utararibu wa kiofisi ukizingatia wana mishahara yao, mfano kuelekea Siku ya Mwalimu Duniani, Maganga ametoa Posho za Shilingi Milioni 10 kwa Wajumbe wa Kamati Tendaji wote (Makatibu na Wenyeviti wa CWT) mikoani na wilayani bila sababu ya msingi wakati kuna sherehe moja ya kitaifa inayoandaaliwa Makao Makuu na walimu watashiriki.

Hivyo Maganga mpaka sasa alichokifanya kuigawa Kamati Tendaji Taifa ya CWT na kuchukua Robo Tatu ya wajumbe wake ambao wameingia kwenye mfumo wake na wanafaidika kupitia yeye na hivyo tusitegemee Maganga kuadhibiwa au kuchukuliwa hatua na Kamati Tendaji ya CWT kwa sababu Akidi yote ameikamata, hivyo ni sawa na kusema Maganga ni mwizi aliyeiba meno ya Chama Cha Walimu.
DED wa Temeke alitaka kumchukulia hatua kwa kutoenda/kutorudi kwenye shule aliyokuwa anafundisha. Hilo sakata liliishia wapi? Jamaa bado anabugia maokoto tu ya marafiki zake Mpwayungu Village
 
Hiki chama kinalalamikiwa kila siku, mkiambiwa achaneni nacho hamtaki mno tu sasa sijui mnataka tuwasaidiaje yaani

Chama chochote kuwa na nguvu ni wanachama. Unadhani kundi la waalimu 200,000 likijitoa cwt kutakuwa na nini?
Shida si Walimu. Hata mwalimu atamke nimejitoa lakini hawezi kuzuia yale makato.

Kama Walimu wangekuwa wanalipa yale makato bila kukatwa moja kwa moja unafikiri wangeshindwa kuondoka siku nyingi?
 
Vyama vyote vinavyoanzishwa ndani ya nchi yoyote ile hata kama ni chama cha waokota makopo lazima SIRIKALI wawawekee MSIRI wao kuhakikisha chama hicho kinaenda kama wao wanavyotaka na sio kama wanachama wategemeavyo, kaa ukijua hilo halikwepeki, hamna mtu au watu wanaoweza kuanzisha chama chao kije kiisumbue serikali.
 
Shida si Walimu. Hata mwalimu atamke nimejitoa lakini hawezi kuzuia yale makato.

Kama Walimu wangekuwa wanalipa yale makato bila kukatwa moja kwa moja unafikiri wangeshindwa kuondoka siku nyingi?
Wajiondoe kundi kubwa wawe pembeni alafu waanze vugu vugu kuzuia kukatwa hela zao
 
Back
Top Bottom