Mashimba Son
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 1,109
- 1,365
Baada ya mzigo huo kutolewa bandarini nitahitaji kuziona hizo ofisi za Walimu zitakazowekewa Mazuria na samani kutoka nje ya nchi!
uuuwiii mazuria kwenye ofisi zenye kupigwa na vumbi? Tuache utani... tehBaada ya mzigo huo kutolewa bandarini nitahitaji kuziona hizo ofisi za Walimu zitakazowekewa Mazuria na samani kutoka nje ya nchi!
makonda hayajui.....cwt ...makonda anayajua...!!!!Naweza sema kwa uwazi.. RC Makonda hahusiki kabisa ..Hizo ni samani za ofisi za waalimu shule za msingi na sekondari Dar...
Sbb watu wengi humu JF na kwingineko mnataka sana kumchafua RC Makonda na sbb anapiga kazi vizuri sana na mfano wa kuigwa, mnajisumbua tu, fanyeni kazi zenu mnapoteza muda wenu bure.. Hahusiki kabisa
Umenena na ndio maana anayakana, drama haziishi nchi hii. Na hapo tungoje yatapita tu!mi nahisi yatakuemo mawili matatu yasiyokua ya vifaa vyashule ila yalitaka kupitishwa kwa mgongo huo wa msaada
Kwi! Kwi! Kwi!Utata umeendelea kuandama umiliki wa makontena 20 yaliyotajwa na Mamlaka ya Mapato (TRA), kuwa miongoni mwa yale yatakayopigwa mnada kwa kukaa bandarini muda mrefu, baada ya mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda kukana kuwa sio ya kwake.
Awali, TRA ilitoa tangazo katika gazeti la Daily News, ikisema mtu aitwaye Paul Makonda bila kubainisha kama mtajwa ni mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam au la, anamiliki makontena 20 yenye bidhaa mbalimbali zikiwamo samani katika bandari kavu ya DICD.
Hata hivyo, akizungumza jana wakati akizindua kamati ya mapendekezo kuhusu wanawake waliotelekezwa na wenza wao, Makonda alisema hajui chochote na amesikia habari hizo kwenye magazeti kama walivyozisikia watu wengine.
“Sidhani kama nahusika na jambo lolote lile na sijui chochote, hilo unalolisema hata mimi nimesoma kwenye magazeti kama ulivyosoma wewe. Nafikiri zilikuwa ni habari za jana na leo nimesoma nyingine,” alisema.
Makonda alisema Serikali hufanya kazi zake kwa maandishi na yeye hana nakala yoyote inayohusiana na mzigo huo.
“Sio suala la kwangu kabisa, nimekusikia wewe kama mimi nilivyosikia jana (juzi) na ninafikiri tutaendelea kusikia hivyo hivyo na ndio maana katika hizo habari hakuna sehemu yoyote umeona nimenukuliwa kusema kama ni mali zangu,” alisema Makonda.
Hata hivyo, Februari 16, Makonda alikaririwa katika mtandao wa gazeti la Serikali la HabariLeo kuwa alipokea makontena 20 yenye samani zitakazotumika katika ofisi za walimu zinazoendelea kujengwa ukiwa ni sehemu ya shehena ya makontena 36.
Ilielezwa kuwa samani hizo za ofisini zilizokuwa na thamani ya Sh2 bilioni, zilitolewa na Watanzania wanaoishi Marekani wanaojulikana kama Six Region Diaspora Council.
Mei, 12 kaimu kamishna wa Forodha na Ushuru wa TRA, Ben Asubisye alisema wamiliki wa mizigo hiyo wanatakiwa kuikomboa ndani ya siku 30 kuanzia siku hiyo. Katika tangazo hilo lenye orodha ya makontena zaidi ya 800, jina la Paul Makonda limejitokeza mara 20 akiwa mpokeaji wa makontena 20 yakiwa na bidhaa kadhaa, zikiwamo samani.
Mkurugenzi wa Huduma na Elimu kwa Mlipakodi wa TRA, Richard Kayombo aliliambia Mwananchi juzi kuwa mamlaka hiyo imetoa notisi ya siku 30 kwa waagizaji wa mizigo ambayo imekaa bandarini kwa zaidi ya siku 90.
“Tangazo lililotolewa ni notice (taarifa) kwa wahusika ili wakomboe mizigo yao ndani ya siku 30. Isipokombolewa itanadiwa. Mizigo hiyo inaweza kuwa ni ile ambayo haijalipiwa kodi au hata ile iliyolipiwa lakini haijaondolewa,” alisema.
Alipoulizwa kama shehena hiyo ni mali binafsi ya Makonda au ya ofisi yake, Kayombo alisema: “Majina yaliyoandikwa kwenye magazeti ndiyo taarifa za consignees (wapokeaji) zilizopo kwenye nyaraka.”
CWT wayatambua
Wakati Makonda akikana kuwa hahusiki na mzigo huo, Chama cha Walimu Tanzania (CWT) Mkoa wa Dar es Salaam, kimesema kina taarifa za uwepo wa makontena 20 ya mizigo yenye vifaa na samani za ofisini yaliyopo bandarini.
Mwenyekiti wa CWT mkoani hapa, Amina Kisenge aliliambia Mwananchi jana kuwa, baada ya makontena hayo kuwasili bandarini, Makonda aliwachukua baadhi ya walimu na wanafunzi na kwenda kuwaonyesha vifaa hivyo.
Hata hivyo, alisema aliwachukua walimu na wanafunzi na sio chama akisema kwa kawaida katika mchakato huo si lazima CWT ishirikishwe, lakini shule na walimu walishirikishwa kuwasili kwa vifaa.
“Kama ni vifaa vya shule kwa ajili ya walimu tuna taarifa walimu wakuu pamoja na wanafunzi wa shule za msingi na sekondari tulishirikishwa na mimi nikiwemo kama mwalimu, tulikwenda na mkuu wa mkoa mpaka bandarini na kuviona vifaa hivyo,” alisema Kisenge.
Chanzo:Mwananchi
"Better were JK days"
Alisema "Kisenge"Utata umeendelea kuandama umiliki wa makontena 20 yaliyotajwa na Mamlaka ya Mapato (TRA), kuwa miongoni mwa yale yatakayopigwa mnada kwa kukaa bandarini muda mrefu, baada ya mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda kukana kuwa sio ya kwake.
Awali, TRA ilitoa tangazo katika gazeti la Daily News, ikisema mtu aitwaye Paul Makonda bila kubainisha kama mtajwa ni mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam au la, anamiliki makontena 20 yenye bidhaa mbalimbali zikiwamo samani katika bandari kavu ya DICD.
Hata hivyo, akizungumza jana wakati akizindua kamati ya mapendekezo kuhusu wanawake waliotelekezwa na wenza wao, Makonda alisema hajui chochote na amesikia habari hizo kwenye magazeti kama walivyozisikia watu wengine.
“Sidhani kama nahusika na jambo lolote lile na sijui chochote, hilo unalolisema hata mimi nimesoma kwenye magazeti kama ulivyosoma wewe. Nafikiri zilikuwa ni habari za jana na leo nimesoma nyingine,” alisema.
Makonda alisema Serikali hufanya kazi zake kwa maandishi na yeye hana nakala yoyote inayohusiana na mzigo huo.
“Sio suala la kwangu kabisa, nimekusikia wewe kama mimi nilivyosikia jana (juzi) na ninafikiri tutaendelea kusikia hivyo hivyo na ndio maana katika hizo habari hakuna sehemu yoyote umeona nimenukuliwa kusema kama ni mali zangu,” alisema Makonda.
Hata hivyo, Februari 16, Makonda alikaririwa katika mtandao wa gazeti la Serikali la HabariLeo kuwa alipokea makontena 20 yenye samani zitakazotumika katika ofisi za walimu zinazoendelea kujengwa ukiwa ni sehemu ya shehena ya makontena 36.
Ilielezwa kuwa samani hizo za ofisini zilizokuwa na thamani ya Sh2 bilioni, zilitolewa na Watanzania wanaoishi Marekani wanaojulikana kama Six Region Diaspora Council.
Mei, 12 kaimu kamishna wa Forodha na Ushuru wa TRA, Ben Asubisye alisema wamiliki wa mizigo hiyo wanatakiwa kuikomboa ndani ya siku 30 kuanzia siku hiyo. Katika tangazo hilo lenye orodha ya makontena zaidi ya 800, jina la Paul Makonda limejitokeza mara 20 akiwa mpokeaji wa makontena 20 yakiwa na bidhaa kadhaa, zikiwamo samani.
Mkurugenzi wa Huduma na Elimu kwa Mlipakodi wa TRA, Richard Kayombo aliliambia Mwananchi juzi kuwa mamlaka hiyo imetoa notisi ya siku 30 kwa waagizaji wa mizigo ambayo imekaa bandarini kwa zaidi ya siku 90.
“Tangazo lililotolewa ni notice (taarifa) kwa wahusika ili wakomboe mizigo yao ndani ya siku 30. Isipokombolewa itanadiwa. Mizigo hiyo inaweza kuwa ni ile ambayo haijalipiwa kodi au hata ile iliyolipiwa lakini haijaondolewa,” alisema.
Alipoulizwa kama shehena hiyo ni mali binafsi ya Makonda au ya ofisi yake, Kayombo alisema: “Majina yaliyoandikwa kwenye magazeti ndiyo taarifa za consignees (wapokeaji) zilizopo kwenye nyaraka.”
CWT wayatambua
Wakati Makonda akikana kuwa hahusiki na mzigo huo, Chama cha Walimu Tanzania (CWT) Mkoa wa Dar es Salaam, kimesema kina taarifa za uwepo wa makontena 20 ya mizigo yenye vifaa na samani za ofisini yaliyopo bandarini.
Mwenyekiti wa CWT mkoani hapa, Amina Kisenge aliliambia Mwananchi jana kuwa, baada ya makontena hayo kuwasili bandarini, Makonda aliwachukua baadhi ya walimu na wanafunzi na kwenda kuwaonyesha vifaa hivyo.
Hata hivyo, alisema aliwachukua walimu na wanafunzi na sio chama akisema kwa kawaida katika mchakato huo si lazima CWT ishirikishwe, lakini shule na walimu walishirikishwa kuwasili kwa vifaa.
“Kama ni vifaa vya shule kwa ajili ya walimu tuna taarifa walimu wakuu pamoja na wanafunzi wa shule za msingi na sekondari tulishirikishwa na mimi nikiwemo kama mwalimu, tulikwenda na mkuu wa mkoa mpaka bandarini na kuviona vifaa hivyo,” alisema Kisenge.
Chanzo:Mwananchi
"Better were JK days"
Tatizo ni kuwa humo ndani hazipo samani za ofisi za walimu peke yakeYaani Bashite mjinga kweli, alikuwa na project za kujenga ofisi za Walimu.
Badala ya kusema ni samani kwa ajili ya Ofisi za Walimu ila anajichanganya, angesema hivyo tungeamini maana project alishaianza kitambo
Mkanganyiko kama huo unaweza kuwa na sababu mbili. Kwanza ni uzembe wa mtumaji ambaye badala ya kuleta kama msaada kwa idara ya elimu, ameuleta kama mali ya mwenye jina. Pili mwenye jina hata kama anafahamu ni msaada, lazima kaingiwa na tamaa ya kuteka nyara mali hizo. Hivyo kuna niya mbaya ya kufaidika binafsi na fanicha hizo hata kama anafahamu ni msaada wa idara ya elimu.Utata umeendelea kuandama umiliki wa makontena 20 yaliyotajwa na Mamlaka ya Mapato (TRA), kuwa miongoni mwa yale yatakayopigwa mnada kwa kukaa bandarini muda mrefu, baada ya mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda kukana kuwa sio ya kwake.
Awali, TRA ilitoa tangazo katika gazeti la Daily News, ikisema mtu aitwaye Paul Makonda bila kubainisha kama mtajwa ni mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam au la, anamiliki makontena 20 yenye bidhaa mbalimbali zikiwamo samani katika bandari kavu ya DICD.
Hata hivyo, akizungumza jana wakati akizindua kamati ya mapendekezo kuhusu wanawake waliotelekezwa na wenza wao, Makonda alisema hajui chochote na amesikia habari hizo kwenye magazeti kama walivyozisikia watu wengine.
“Sidhani kama nahusika na jambo lolote lile na sijui chochote, hilo unalolisema hata mimi nimesoma kwenye magazeti kama ulivyosoma wewe. Nafikiri zilikuwa ni habari za jana na leo nimesoma nyingine,” alisema.
Makonda alisema Serikali hufanya kazi zake kwa maandishi na yeye hana nakala yoyote inayohusiana na mzigo huo.
“Sio suala la kwangu kabisa, nimekusikia wewe kama mimi nilivyosikia jana (juzi) na ninafikiri tutaendelea kusikia hivyo hivyo na ndio maana katika hizo habari hakuna sehemu yoyote umeona nimenukuliwa kusema kama ni mali zangu,” alisema Makonda.
Hata hivyo, Februari 16, Makonda alikaririwa katika mtandao wa gazeti la Serikali la HabariLeo kuwa alipokea makontena 20 yenye samani zitakazotumika katika ofisi za walimu zinazoendelea kujengwa ukiwa ni sehemu ya shehena ya makontena 36.
Ilielezwa kuwa samani hizo za ofisini zilizokuwa na thamani ya Sh2 bilioni, zilitolewa na Watanzania wanaoishi Marekani wanaojulikana kama Six Region Diaspora Council.
Mei, 12 kaimu kamishna wa Forodha na Ushuru wa TRA, Ben Asubisye alisema wamiliki wa mizigo hiyo wanatakiwa kuikomboa ndani ya siku 30 kuanzia siku hiyo. Katika tangazo hilo lenye orodha ya makontena zaidi ya 800, jina la Paul Makonda limejitokeza mara 20 akiwa mpokeaji wa makontena 20 yakiwa na bidhaa kadhaa, zikiwamo samani.
Mkurugenzi wa Huduma na Elimu kwa Mlipakodi wa TRA, Richard Kayombo aliliambia Mwananchi juzi kuwa mamlaka hiyo imetoa notisi ya siku 30 kwa waagizaji wa mizigo ambayo imekaa bandarini kwa zaidi ya siku 90.
“Tangazo lililotolewa ni notice (taarifa) kwa wahusika ili wakomboe mizigo yao ndani ya siku 30. Isipokombolewa itanadiwa. Mizigo hiyo inaweza kuwa ni ile ambayo haijalipiwa kodi au hata ile iliyolipiwa lakini haijaondolewa,” alisema.
Alipoulizwa kama shehena hiyo ni mali binafsi ya Makonda au ya ofisi yake, Kayombo alisema: “Majina yaliyoandikwa kwenye magazeti ndiyo taarifa za consignees (wapokeaji) zilizopo kwenye nyaraka.”
CWT wayatambua
Wakati Makonda akikana kuwa hahusiki na mzigo huo, Chama cha Walimu Tanzania (CWT) Mkoa wa Dar es Salaam, kimesema kina taarifa za uwepo wa makontena 20 ya mizigo yenye vifaa na samani za ofisini yaliyopo bandarini.
Mwenyekiti wa CWT mkoani hapa, Amina Kisenge aliliambia Mwananchi jana kuwa, baada ya makontena hayo kuwasili bandarini, Makonda aliwachukua baadhi ya walimu na wanafunzi na kwenda kuwaonyesha vifaa hivyo.
Hata hivyo, alisema aliwachukua walimu na wanafunzi na sio chama akisema kwa kawaida katika mchakato huo si lazima CWT ishirikishwe, lakini shule na walimu walishirikishwa kuwasili kwa vifaa.
“Kama ni vifaa vya shule kwa ajili ya walimu tuna taarifa walimu wakuu pamoja na wanafunzi wa shule za msingi na sekondari tulishirikishwa na mimi nikiwemo kama mwalimu, tulikwenda na mkuu wa mkoa mpaka bandarini na kuviona vifaa hivyo,” alisema Kisenge.
Chanzo:Mwananchi
"Better were JK days"
Ha haaaa haaaaa Wewe jamaa bwana!Naweza sema kwa uwazi.. RC Makonda hahusiki kabisa ..Hizo ni samani za ofisi za waalimu shule za msingi na sekondari Dar...
Sbb watu wengi humu JF na kwingineko mnataka sana kumchafua RC Makonda na sbb anapiga kazi vizuri sana na mfano wa kuigwa, mnajisumbua tu, fanyeni kazi zenu mnapoteza muda wenu bure.. Hahusiki kabisa
Ha haaaa haaaaa Wewe jamaa bwana!Naweza sema kwa uwazi.. RC Makonda hahusiki kabisa ..Hizo ni samani za ofisi za waalimu shule za msingi na sekondari Dar...
Sbb watu wengi humu JF na kwingineko mnataka sana kumchafua RC Makonda na sbb anapiga kazi vizuri sana na mfano wa kuigwa, mnajisumbua tu, fanyeni kazi zenu mnapoteza muda wenu bure.. Hahusiki kabisa