bila ngono tusingeijaza dunia.porn corn
asante mpenda ngono mwenzangu
Mimi naona mpaka hapo umeshamaliza kila kitu.mkuu Salary Slip , usiiache hii ielee elee hivi bana.
embu tupe analysis kidogo - CWT kuwa msemaji wa consignment ambayo m/kiti wake anakiri mwenyewe kuwa si ya CWT; Makonda kuikana consignment sasa ambayo mwanzoni aliwaonyesha waalimu, nk
it doesn't add up - heeelp!!
ni shida sana kwa kweli..Mimi naona mpaka hapo umeshamaliza kila kitu.
Kuishi Bongo kunataka moyo mkuu!!
Only fools will celebrate and be comfortable in this country.Naweza sema kwa uwazi.. RC Makonda hahusiki kabisa ..Hizo ni samani za ofisi za waalimu shule za msingi na sekondari Dar...
Sbb watu wengi humu JF na kwingineko mnataka sana kumchafua RC Makonda na sbb anapiga kazi vizuri sana na mfano wa kuigwa, mnajisumbua tu, fanyeni kazi zenu mnapoteza muda wenu bure.. Hahusiki kabisa
Hebu tuelewana kwanza, hata kama lingekuwa ni kontena moja ni kwa nini consignee awe individual na siyo Government office?Katika Makontena 20 huenda kontena moja ama mawili ndio yangeenda mashuleni....hayo mengine yangeingizwa kwenye maduka ya wahusika.
Makonda anajua mchezo mzima.....ila mamlaka za juu inaonekana zimemshitukia...
Ukishanunuliwa bia za bure na hao mabwana zako basi unakuja kujambajamba tu hapaNaweza sema kwa uwazi.. RC Makonda hahusiki kabisa ..Hizo ni samani za ofisi za waalimu shule za msingi na sekondari Dar...
Sbb watu wengi humu JF na kwingineko mnataka sana kumchafua RC Makonda na sbb anapiga kazi vizuri sana na mfano wa kuigwa, mnajisumbua tu, fanyeni kazi zenu mnapoteza muda wenu bure.. Hahusiki kabisa
Samahani Mkuu,umeishia darasa la ngapi?Naweza sema kwa uwazi.. RC Makonda hahusiki kabisa ..Hizo ni samani za ofisi za waalimu shule za msingi na sekondari Dar...
Sbb watu wengi humu JF na kwingineko mnataka sana kumchafua RC Makonda na sbb anapiga kazi vizuri sana na mfano wa kuigwa, mnajisumbua tu, fanyeni kazi zenu mnapoteza muda wenu bure.. Hahusiki kabisa
hahaa. wewe Jamaa bwana " akili zako hata hazifanani na huu ujinga unaojaribu " kujivisha aisee...Naweza sema kwa uwazi.. RC Makonda hahusiki kabisa ..Hizo ni samani za ofisi za waalimu shule za msingi na sekondari Dar...
Sbb watu wengi humu JF na kwingineko mnataka sana kumchafua RC Makonda na sbb anapiga kazi vizuri sana na mfano wa kuigwa, mnajisumbua tu, fanyeni kazi zenu mnapoteza muda wenu bure.. Hahusiki kabisa
Naweza sema kwa uwazi.. RC Makonda hahusiki kabisa ..Hizo ni samani za ofisi za waalimu shule za msingi na sekondari Dar...
Sbb watu wengi humu JF na kwingineko mnataka sana kumchafua RC Makonda na sbb anapiga kazi vizuri sana na mfano wa kuigwa, mnajisumbua tu, fanyeni kazi zenu mnapoteza muda wenu bure.. Hahusiki kabisa
Kwani ilishindikana nini kusubiri yakatolewa bandarini ili wanafunzi na hata hao walimu wao wakaitwa siku ya kukabidhi labda kwa REO, DEOs, DCs na wengine?Kwanini walishirikishwa walimu na wanafunzi badala ya kuishirikisha CWT ambayo haihusiani na wanafunzi? Itakuwa kulikuwa na jaribio la kuiaminisha TRA na Bandari kuwa ni msaada wa mashule ili uweze kupita kirahisi, hapo ulitumika ujanja wa Sinza.