Ila leo ndo nimeamini Kova mpumbavu tu.
Ila leo ndo nimeamini Kova mpumbavu tu.
mkuu mbona cv ya kova ipo njenje! haina haja ya kumuuliza mtu nayo ni:
1.macho yake hayana ushirikiano wakati wa kutazama, yaani la kushoto likiangalia mbele la kulia linaangalia kushoto.
2. ktk mtihani wake wa uafande alipata alama Z ambayo ni ndogo sana kuliko hata F.
Kama kasoma hadi form vi,natoa vocha ya buku 10.
Kova ni kamanda madhubuti kabisa anaaminika na hawezi kufanya kazi kwa matakwa ya watu bali sheria ,kanuni na taratibu za kazi ndio muongozo wake. Kamanda endelea kwani kamamda bora na mtendaji huwa hapendwi na ndio maana tunasemaga kamanda mnoko na kamanda poa usikubali kuitwa kamanda poa bora uitwe kamanda mnoko lakini unafuata sheria, kanuni na taratibu za kazi usiwe na upendeleo wala huruma kwa watu.