CV ya Freeman Mbowe hii hapa

Status
Not open for further replies.
CV YA UKWELI HII HAPA

Education and Work
Grad
School: Makerere University '78
College: University of Miami '80

College: St. John's University of Tanzania
High
School: Makongo Secondary School
'75
Company: Wananchi wa Tanzania
(Jimbo la Hai)

Position: Kiongozi wa Kambi rasmi ya
upinzani bungeni katika bunge la Tanzania.
Time
Period: November 2010 to present

Source ya CV yake nimeitoa wavuti wa Bunge we yako umeitoa wapi. yaelekea wewe ni mzandiki. Weka vitu vya kueleweka.
 
Ktk siasa yetu Tz hiyo CV inakusaidia nn ...ww .............Unajua CV za Madiwani na Wabunge au Viongozi wa CCM....??? wa Darasa la Saba wangapi.....Ni uwezo wa mtu unamata..na hekima this is bushit .............politics.... Wat about urs....fool ?
 
CV YA UKWELI HII HAPA

Education and Work
Grad
School: Makerere University '78
College: University of Miami '80
College: St. John's University of Tanzania
High
School: Makongo Secondary School
'75
Company: Wananchi wa Tanzania
(Jimbo la Hai)

Position: Kiongozi wa Kambi rasmi ya
upinzani bungeni katika bunge la Tanzania.
Time
Period: November 2010 to present

Hii cv imetoka tovuti ya bunge la wapi au imechakachuliwa. tunaomba utujuze wewe umeipata wapi hii
 
Ktk siasa yetu Tz hiyo CV inakusaidia nn ...ww .............Unajua CV za Madiwani na Wabunge au Viongozi wa CCM....??? wa Darasa la Saba wangapi.....Ni uwezo wa mtu unamata..na hekima this is bushit .............politics.... Wat about urs....fool ?

Atakapotakiwa kwenda kukutana na marais wenzake kabla hajaenda waombe cv yake ataongezea hayo maneneo yako ya "Ni uwezo wa mtu unamata..na hekima"
 
hapa tusiumeume maneno Mbowe Shule hakuna na ninafikiri ni kwakuwa muda mwingi alitumia kujifunza na kuendesha muziki (UDJ) na ukizingatia hapo nyuma tecknolojia ilikuwa duni
 
Salutation
Honourable
Member picture
1260.jpg

First Name:
Freeman
Middle Name:
Aikaeli
Last Name:
Mbowe
Member Type:
Constituency Member
Constituent:
Hai
Political Party:
CHADEMA
Office Location:
P.O. Box 3070, Moshi
Office Phone:
Ext.:
Office Fax:
Office E-mail:
fmbowe@parliament.go.tz
Member Status:
Current Member
Date of Birth
EDUCATION
School NCame/Location
Course/Degree/Award
Start Date
End Date
Level
Secondary School
Secondary Education
-
-
HIGH SCHOOL
EMPLOYMENT HISTORY
Company Name
Position
From Date
To Date
Bank of Tanzania
Bank Officer
-
-


Umetumea, kujoin tu tareh 13 July 2012 umeleta hii makitu! Huna jipya!
 
Salutation
Honourable
Member picture
1260.jpg

First Name:
Freeman
Middle Name:
Aikaeli
Last Name:
Mbowe
Member Type:
Constituency Member
Constituent:
Hai
Political Party:
CHADEMA
Office Location:
P.O. Box 3070, Moshi
Office Phone:
Ext.:
Office Fax:
Office E-mail:
fmbowe@parliament.go.tz
Member Status:
Current Member
Date of Birth
EDUCATION
School NCame/Location
Course/Degree/Award
Start Date
End Date
Level
Secondary School
Secondary Education
-
-
HIGH SCHOOL
EMPLOYMENT HISTORY
Company Name
Position
From Date
To Date
Bank of Tanzania
Bank Officer
-
-

No wonder he is the ":flypig:DISCO JOKER"
 
Umepiga viloba nini mbona umekurupuka? ama we ndio mke mkubwa wa Mwigulu ama mdogo? maana mnatuchangaya, wote aliwafungulia ID tarehe moja? sasa hivi jamaa anampumulia mwezio, karibu jamvini


Join Date : 13th July 2012Posts : 4
Rep Power : 0
Likes Received 0
Likes Given 0

Haijalishi nimeingia lini jamvini, kama huna hoja kaa kimya. Hapa Jamvini fair play
 
Magamba mnavyotokwa mapovu, kilichobakia ni kuolewa na viongozi wa cdm tu...
 
Haijalishi nimeingia lini jamvini, kama huna hoja kaa kimya. Hapa Jamvini fair play
ha ha ha ha mbona unaogopa kivuli chako? ok angalieni thread ambazo tumejadili sana hilo mnalolianzisha, anyway karibuni jamvini
 
SalutationHonourableMember picture
1260.jpg
First Name: Freeman
Middle Name:Aikaeli
Last Name:Mbowe
Member Type:Constituency Member
Constituent:Hai
Political Party:CHADEMA
Office Location:P.O. Box 3070, Moshi
Office Phone:
Ext.:
Office Fax:
Office E-mail: fmbowe@parliament.go.tz
Member Status: Current Member
Date of Birth
EDUCATION
School NCame/Location Course/Degree/Award Start DateEnd DateLevel
Secondary SchoolSecondary Education--HIGH SCHOOL
EMPLOYMENT HISTORY
Company Name Position From DateTo Date
Bank of TanzaniaBank Officer--
wewe kuwadi wa mabwepande kakojoe ulale kawadanganye huko vijijini mliozoea kuwahonga mataputapu
 
short and clear.
piga kazi kamanda mbowe watanzania wako nyuma yako.
komaa nao hivyohivyo.
ukiona adui yako analalamika jua roba ii sawasawa maungoni ongeza msuli mpaka ukiona yule inzi mkubwa wa rangi ya kijani akizungukia mitaa ya karibu achia kazi imeisha.
 
Mhhhhhhh ukishangaa ya Musa utaona ya firauni. Kumbe jamaa ni mtupu hivyo. Ndo maana hoja zake huwa hazina mashiko.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom