CV ya Dr. Francis

CV ya Dr. Francis

Kikuyumbo

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2014
Posts
391
Reaction score
94
Dip (Ed) Marangu
BA (Ed) udsm
PGD (Law) udsm
MBA (Umea-sweden)
Phd (udsm)
 
Ni Dr wa nini sasa ?????????????????
 
Mie namjua kwa jina la "Kasabubu" sijui kwa nini huwa halitumii hili jina?
 
Phd isyo na background. Eti Marangu TTC. wapi na wapi.Kuunga unga tuuu.Wanadhani kusoma ni cheti tu. Wamcheck B3.Jembe la Tz. Big up sana Lisu
 
Ukimkuta huyo Kasavubu kwenye "Industrial Relations and Labour Law" ana pozi na misifa utamkoma!!!!!
 
Huyu jamaa ni mkongo, jina lake ni Kasavubu. Kuna wanafunzi wengi sana amefanya nao ngono ili waweze kufaulu. Mkihitaji uthibitisho tutaubandika hapa hapa jukwaani

safi sana kijana mwageni mambo yooote maana hao wamekubali kutusaliti sisi watanganyika wameamua kushirikiana na maccm.
 
haroub othman amefanyaje hapa? muda mwingine kama hujisikii kuongea ni bora kunyamaza
ndio mfano bora wa propagandist...mfano bora wa mouth piece ya akina ghaddafi, siasa za middle east,wahubiri wa unyanyasaji na harakati za kiislam, mabingwa wa kugeuza matukio y akigaidi ya kiislama ktk hii nchi kuwa y akihalifu au watu wasiojulikana.Mabingwa wa kupigana vita ya kidini kw akisingizio cha ukoloni,ubepari etc. Huyo boya kwa kutojielewa na kuwalewa matakataka mengine waliopewa sifa nyingi km JK kablaya kuchaguliwa n akupewa sifa y amatumaini ya watanzania ili kuhsinikiza fikra za watu kumchagua..Km Kinana na uovu wake kupigia upatu kuwa bingwa wa siasa za nchi, sijui kiungo kizuri cha CCM ..huku sasa hivi anafuel CCM kufanya kazi za wanaharakati. Anachofanya huyu boya ni ushetani wa UDSM kutumika....ili wapandishwe umaarufu haraka ktk matukio,midahalo na upuuzi mwingine ili aanze itwa gwiji..
 
PhD mkuu ni kazi binafsi na supervisor na access ya material kuliko ulipo!!!!
Na mambao mengine yanayotokana na huyo supervisor....ila nia, kusimama school of thoughts,na kuheshimu kazi ni vitu vinavyoweza geuza msomi kuwa storage of data zaidi ya kuwa na braina yenye analytical power,ethics, na other inner values..zina mshape binadamu na kumfanya afanye right and responsible choice in every stage of decision and choices...ndio maana akili yake haikumsaidia sana kujua nini anakitetea na kwa faida gani, na kinachotakiwa kuwa cha nani,na mapana ya ya hasara ya maamuzi yake.
 
Na mambao mengine yanayotokana na huyo supervisor....ila nia, kusimama school of thoughts,na kuheshimu kazi ni vitu vinavyoweza geuza msomi kuwa storage of data zaidi ya kuwa na braina yenye analytical power,ethics, na other inner values..zina mshape binadamu na kumfanya afanye right and responsible choice in every stage of decision and choices...ndio maana akili yake haikumsaidia sana kujua nini anakitetea na kwa faida gani, na kinachotakiwa kuwa cha nani,na mapana ya ya hasara ya maamuzi yake.

Ha ha haaaaaaaa usimtusi mwalimu aseeeee!!!!!!!
Ati data storage yaaani huyu kawa na capcity gani sasa 1tera au????
 
Back
Top Bottom