CV ya Balozi Wilson Masilingi

TL mwenyewe alichachawa na kila wakati akimwita a very senior lawyer in Tanzania which means TL na misifasifa yake yote anakubali ni jr kwa mh Masilingi.
Hapo ndipo anaposhindaga TL kamheshimu in terms of age na utangulizi kwenye fani ya sheria lakini kwenye hoja alikalishwa mpaka anataka kupigana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Angle zipi hizo?? Unalinganisha kichwa na Nazi??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ningekuwa Mimi ndo huyo balozi aiseee hata kwa kutumia greda siendi kukutana na lissu !

Maswali ya kuaibika dunia nzima mi siwezi bora nife walahi
 
Balozi ni kilaza hajielewi kabsa
 
Hii issue ya Lissu ni ngumu kwa yeyote yule except kwa aliyetoa order ya ule unyama na waliotekeleza.. Balozi alijitahidi kadri ya uwezo wake!
 
Wengi wameshindwa kuwa na moyo aliokuwa nao Masilingi. Kwenda kubishana na Lissu kwenye chombo cha habari cha kimataifa, tena ughaibuni, kwa lugha ya kingereza, mtangazaji na mgeni mwalikwa mwenzio wote wako dhidi yako. Yataka moyo
".....mtangazaji na mgeni mwalikwa wote wako dhidi yako...", umetumia akili nyingi kuliona hilo. Shaka mpaka sasa Uganda huingia kwa kunyemelea kutokana na propaganda zake dhidi ya Afrika kupitia VoA. Msilingi alijikuta katikati ya vibaraka wawili wa mabeberu na shahidi(kiranja)mmoja.
 
Masilingi kafanya vizuri sana na kamuonesha Lisu alivyo muongo sema , ni kwa kuwa watu wana upande kabla ya mjadala ndio maana wana payuka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanajua ukweli kwamba Lissu alibanwa ndio mana haja trend kama alivyokua akiongea peke yake kule BBC
Lissu angekuwa peke yake kwenye mdahalo ingekuwa fursa ya kufunguka anavyotaka lakini uwepo wa Masilingi umefanya mjadala uegemee kwenye counter attack za Masilingi na mwisho ile impact imekuwa diluted to satisfactory level. Shortly swala limebaki na utata ule ule hadi Polisi watapotoa taarifa yao baada ya uchaguzi.

Ni sawa na sisi Simba tulivyokuwa na high percentage ya ball possession kwenye mechi dhidi ya AS Vita lakini tukala tano, usipojua lengo hutafikia lengo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Empty brain ni kutolea mfano serikali ya JK.
 
Nilicheka sana ile interview. Eti lissu wewe ni mdogo angu, lissu alichomjibu aibu niliona mimi


Ifike mahali watu wamuache lissu kutafuta kuumbuka tu
😂😂😂😂😂 Lissu ile kichwa ni automatic ndio maana jk alisema Bora Dr silaha awe Rais kuliko Lissu kwenda Bungeni!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…