CV ya Albert Msando


nadhani wengi wamekujibu...ila cha kuongezea apo ni kuwa Albert Msando anayo law firm yake. Iko jijini arusha, si vibaya kama una kijikesi unaweza ukampelekea...firm yake iko meneo ya arusha mjini kabla haujaelekea njiro. Pia usisahau kugonga like moyoni mwako kwenye page ya cdm kwa kuwa ina vichwa vingi mno, na uyu anachipukia japo kuna maneno eti kesi imekuwa drafted na jaji mwingine. Kuelekea 2015 mtaomba CV nyingi sana za wanacdm.
 


Team Majungu
 
Ukisoma au Ukichangia topic za kipuuzi kama hizi na wewe unakuwa mpuuzi zaidi ya upuuzi wenyewe!
 
Kwa nyongeza ni schoolmate wa Mwigulu Nchemba chini ya Mwl Gwaje(RIP)!

Msando na Mwigulu wanafahamiana toka Ilboru enzi hizooo!

Mwigulu alikuwa Head Prefect hapo Ilboru japo uongozi wake mimi sikuupenda maana haki ya mtu ilikuwa ngumu kusikilizwa na alitumia ubabe mwingi kuongoza watu kwa kiburi cha kutoka Mkoa Mmoja na Head Master Mzee Kitemango..
 
wivu wa kike acha mara moja

Asante,
lakini huo ndio ukweli UDSM ishakuw akimeo sikuhizi, uliza kaka zako na wazee wako LAW ulikuw ahuingii bila point 3, kwa point zake hizo alitakiwa kusoma LAWa MZUMBE kwa VIlaza enzi hizo.
 
Mwigulu alikuwa Head Prefect hapo Ilboru japo uongozi wake mimi sikuupenda maana haki ya mtu ilikuwa ngumu kusikilizwa na alitumia ubabe mwingi kuongoza watu kwa kiburi cha kutoka Mkoa Mmoja na Head Master Mzee Kitemango..
Umenikumbusha mbali mkuu: Kitemango~ KITEI. Jamaa aliiharibu sana shule.


tragedy of the commons
 
Umenikumbusha mbali mkuu: Kitemango~ KITEI. Jamaa aliiharibu sana shule.


tragedy of the commons

Mkuu unakumbuka kirefu cha KITEI? KITEII= KIPUNGA IVA TULE ELIMU INATUNGOJA ILBORU..
Usimsahau mzee wa MACHAKURA: "NANI KAMWAGA MACHAKURA HAPA?"
 
Pamaja na wakili mzuri lakini ZZK alikuwa karibu na eneo la penalty ushindi lazima hata angejisimamia mwenyewe 3-0 au wamefuta mjipange, Jeshi la mtu moja.
 
we unaedhani zito ni mwanaharakati akili zako kama zake zzk anaefikiri watanzania wa leo hawana akili na kuwa yeye ndo kila kitu.Huyu jamaa kawapumbaza na uchawi wa kigoma mnamshabikia ---- huyu na msaliti wa watanzania.amewadumaza akili mnadhani kuwa anawatetea watanzania kumbe ndo mharibifu wa demokrasia nchini,huyu lazima wana mdooooooooo
 
Baada ya mbunge wa CHADEMA,ndugu Zuberi Zitto Kabwe kuibwaga CHADEMA katika pingamizi la kutojadili uanachama wa Zitto na hatimaye kumfukuza uanachama,wakili kijana,diwani wa kata ya Mabogini (CHADEMA) mkoani Kilimanjaro amepata sifa kubwa nchini kwa umahiri wake katika sheria.Wakili huyo ambaye ni rafiki mkubwa wa Zitto toka walipokuwa chuoni Mlimani ameonesha ujasiri wa hali ya juu kumpigania Zitto mahakamani huku akipambana na wanasheria watatu maarufu akiwemo Tundu Lissu kwa upande wa CHADEMA.Mwanasheria huyu kijana aliyeanza kazi ya uwakili mwk 2007 amethubutu hata kuutoa kafara uanachama wake wa CHADEMA kwa kumtetea Zitto,hakuhofia hatma yake CHADEMA baada ya kuungana na Zitto.Kubwagwa kwa CHADEMA nakumbuka maneno ya mh.Rais katika hafla ya kupokea katiba mpya kuwa Tundu Lissu anachanganya sheria.Namuunga mkono mh.rais kwa kauli yake.
 

unaelewa lakini ulichokiandika, hata kama busara sio sehemu ya maisha yako, jitahidi japo kidogo, leta habari za kujenga sio za kubomoa.
 
Ukisoma au Ukichangia topic za kipuuzi kama hizi na wewe unakuwa mpuuzi zaidi ya upuuzi wenyewe!

Dogo kamalizie gongo yako. Nimesema watoka povu hamna nafasi kwenye uzi huu. Watu wengine bana aghrrrrr!!!!!
 
unaelewa lakini ulichokiandika, hata kama busara sio sehemu ya maisha yako, jitahidi japo kidogo, leta habari za kujenga sio za kubomoa.


Kwani lazima kila uzi uchangie. Ukiona haukuhusu si unaachana nao. We team Mbowe kamalizie gongo yako. Nimesema watoka povu hamna nafasi kwenye uzi huu. Watu wengine bana aghrrrrr!!!!!
 
Kwa hiyo haki ni pale tu inapokuwa in favor of cdm.Watz kwa double standards tutafika kweli?
Watu wanasema Msondo ameshinda wakati Nyuma ya Msondo kulikuwa na ...........................!!!
Hata yeye Msondo anajua hili na hawezi kuiweka hii kwenye rekodi yake kuwa ni Msindi kwa kuwa waliomshindania watapinga
 

Asante mkuu.Kuna watu wanatoa mipovu humu ndani wakati ndg zao hawana uhakika wa mlo hata mmoja kisa yeye ana uhakika wa kuhongwa.Shame on them
 
Hivi ni kina Lissu tu ndio waliokuwa wan atakuwa kushinda?kwani hakuna vifungu vya kuwabana kama walivyo banwa!kumbukeni hii ni sheria na sio mashindano ya baiskeli yanategemea pumzi,law technique ndio ina apply hapo
Sasa ndugu zetu upande wa pili wameshindwa so wakubali tu na sio maneno kaanza sheria mwaka huu au juzi inategemea na akili ya mtu.
Jenga hoja yenye mashiko.
 
Mkuu unakumbuka kirefu cha KITEI? KITEII= KIPUNGA IVA TULE ELIMU INATUNGOJA ILBORU..
Usimsahau mzee wa MACHAKURA: "NANI KAMWAGA MACHAKURA HAPA?"
Nakumbuka mkuu. Ila nilichelewa sana kuking'amua hicho kirefu aisee; last yr. mwanzo nilidhani ubwabwa ulikuja na Kitemango ndio maana wakauita Kitei.
 
Mwigulu alikuwa Head Prefect hapo Ilboru japo uongozi wake mimi sikuupenda maana haki ya mtu ilikuwa ngumu kusikilizwa na alitumia ubabe mwingi kuongoza watu kwa kiburi cha kutoka Mkoa Mmoja na Head Master Mzee Kitemango..

Na alikuwa head prefect baada ya kumpindua albert alokuwa anasoma pcb kiaina.yeye alikuwa o level hivyo alikuwa deputy ila kwa ukaribu wake na walimu albert akaonekana hafai
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…