CV ya Albert Msando


together we stand brother
 

HASIRA HIZO. Kumbuka mbuyu ulianza kama mchicha. KEEP UP MSANDO.
 
Chimbueni jamani...yamkini mtaupata ukweli. Kuna mambo ambayo hayaandikwi kwenye CV. Kwa maoni yangu, wakili na mwakilishwa wote ni vibaraka!
 

BABA NI BABA TU, hawezi kuwa mwana. CCM BADO NI CHAMA BORA NA TUNA UHAKIKA WA USHINDI WA KISHINDO 2015. No doubt. Nyie ni debe tupu, hamuishi kuvuma
 
Najaribu kutafakari nankuhoji utimamu wa bongo wa watu wengine,hiyo gongo,povu inayohusishwa na CDM inakuwajeee???
 
Lissu amezidiwa na sifa sana bora alipotolewa knockout
 
BABA NI BABA TU, hawezi kuwa mwana. CCM BADO NI CHAMA BORA NA TUNA UHAKIKA WA USHINDI WA KISHINDO 2015. No doubt. Nyie ni debe tupu, hamuishi kuvuma

WACHANA na fikra tasa,huna uchungu na nchi yako,huyo baba ametufikisha wapi mpaka sasa?Bei za vitu zinazidi kupanda,achilia mbali ww mwenye uwezo wa kupata mkate wa kila siku,Je,Mwananchi wa kawaida asiyeweza kuafford mnansaidia vipi kama BABA wa Nchi?? CCM inaendelea kuwakandamiza wanyongee,...Wake up to reality!!!
 
Lissu kesi zote za uchaguzi za wabunge wa chadema walizoshinda zilisimamiwa na lissu
Ni upuuzi kuona zuio la zzk kufanikiwa ndio kigezo cha kuona etu lissu hajui
Walikuwa wanahonga majaji lakini zitto anawajua kuwa wanatabia ya kuhonga majaji kawabana.
 
Keep going Msando inahitajika kuwa na watu majasiri na wenye uthubutu sana katika Taifa ili kuweza kusogea mbele,sasa sifa hizi anapopewa mtu mmoja kwa sababu ya faida za wachache ni dhuluma kwa Taifa!!!!!

Wenye macho tujifunze!!!!!
 

Kwani bei za vitu vya ulaya vinapopanda bei InASababishwa na CCM? We vipi. Ugumu wa misha ya wamarekani, wajerumani, greece unsabaishwa na CCM? KUKOMBOKA kwako kimaisha hkutegemei chama, kunategemea kuchakalika kwako. Wewe na uvivu wako wa kufikiri na kujituma ndio vyanzo vikuu vya umaskini wako. Amka, mafanikio yako yanategemea sana kujitumamkwako. Chemka dogo, achana na fikra za wajinga kuwa kuwa umaskini umesabaishwa na chama. Umaskini wa tanzania umesababishwa na mfumo kristo. Rejea kitabu cha dr john silvalon chenye kichwa cha habari"UHUSIANO KATI YA KANISA KATOLIKI NA SERIKALI YA TANZANIA KATI YA MWAKA 1958 NA 1985"
 
Watu wanasubiri CV mnaleta comparison za Msando na Lissu
 
Msando ni noma amewabwaga mawakili watatu wa chadema, hii inathibitisha kuwa lissu sasa hivi anatoa ushauri wa kihawayani ambao unazidi kukiaibisha chama mpaka chama kimebaki kinaenda kihunihuni tu
 
Ni ujinga kufaninisha uwezo wa Lissu kisheria na Msando.

Lissu ni katI ya wanasheria hazina wa taifa hili hata Jk anatambua uwezo wake, sema siasa ya zetu uchwara zinatufanya tuone Jiwe kama mkate na mkate kama jiwe.!!!
 
khaaa misukule ya mbowe sijui leo haijapewa unga haielewi kabisa...mtu anataka cv ya professional Albert Msando mnaleta porojo za TOBO LISSU NA MZINZI SLA
Zitto chaguo la umma...mbowe chaguo la mtei

MaCCM mnashida mwaka huu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…