CV ya Albert Msando

Nchaby

JF-Expert Member
Joined
Aug 12, 2013
Posts
797
Reaction score
259
Baada ya kesi iliyokuwa ikileta sekeseke jijini hapa na hata mikoani kati ya Mwanademokrasia wa kweli Zitto Zuberi Kabwe kwa upande mmoja, na viongozi wa CDM wahafidhina kwa upande mwingine, kutolewa maamuzi huku haki ikiendelea kutendeka na kutawala;

Tafadhari mwenye cv ya mwanasheria machachari mwenye upeo na weledi wa juu wa sheria Albert Msando naombeni aiweke hapa jamvini ili sisi wahanga wa kuonewa na kunyanyaswa na wahafidhina, mafisadi wanyanyasaji na waporaji wake za watu tuweze kujua Msando Gwiji jipya mjini hapa weledi wake kaupata vipi ili aendelee kusimamia kesi zetu.

NB: Kama wewe uko unatoka povu baada ya kunywa mbege na viroba huku ukishushia gongo, huu uzi haukuhusu!!!!!!

Unawahusu tu wale wenye kiu ya demokrasia ya kweli ndani na nje ya CDM.
HAKI ITAINUA TAIFA.
 
Lissu kesi zote za uchaguzi za wabunge wa chadema walizoshinda zilisimamiwa na lissu
Ni upuuzi kuona zuio la zzk kufanikiwa ndio kigezo cha kuona etu lissu hajui
 
Kwa sasa Lissu ni sawa na DEBE tupu

na wewe ni sawa na nini? Kopo la chooni! Usipende sana kujudge watu na profession zao kirahisi hivyo. Huwezi lingana na uwezo wa Lissu kwenye medani ya sheria wewe na ukoo wako wote! Na waonyesha jinsi ubongo wako ulivyo mtupu! Huyo Msando wako cha mtoto tu kwa Lissu hata presida wako analitambua hilo ndo maana akamkandia ili naye aonekane wamo! Mbona aliyokuwa anayapigania ndo yanayotekelezwa sasa kwenye maandalizi ya bunge la katiba lijalo? Jitambue wewe shabiki usiye na timu!?
 
Lissu kesi zote za uchaguzi za wabunge wa chadema walizoshinda zilisimamiwa na lissu
Ni upuuzi kuona zuio la zzk kufanikiwa ndio kigezo cha kuona etu lissu hajui

Achana nao hao mkuu. Ivi kesi ngapi tena zenye mashiko alizozisimamia lissu na akashinda??kesi za kupinga ubunge mfano ile rufaa ya lema na akashinda. Ivi kunakesi ilikuwa ngumu kama ile ya lwakatare kusingiziwa gaid na bado aliipangua??? Sembuse hii ivyo na mashiko eti yakupinga kujadiliwa???mbona haishtui wala??? Skia zitto amekurupuka tena vby nyie wapambe wake mshaurin akamuone mwanasailojia kwani anguko lake cdogo kana abavyofikiria.
 
Sasa Lisu kaingiaje na hapa tuna subiri CV ya Msando
 
ukisha kuwa ktk channel ya kui fever ccm,cv aint a big deal.what matters ni jinsi gani unajua kujikomba na kusimamia maagizo yao.period.
 

Dogo nani kakudanganya kwamba mwenye Credit hapo ni Albert Msando? Mwenye Credit hapo ni CCM! Hata kama jiwe lingekuwa wakili, lingeshinda! The Judiciary of Tanzania is not yet independent! NOT YET UHURU!!!!
 

mamluki.
 
Dogo nani kakudanganya kwamba mwenye Credit hapo ni Albert Msando? Mwenye Credit hapo ni CCM! Hata kama jiwe lingekuwa wakili, lingeshinda! The Judiciary of Tanzania is not yet independent! NOT YET UHURU!!!!

Kwa hiyo haki ni pale tu inapokuwa in favor of cdm.Watz kwa double standards tutafika kweli?
 
Jamani naomba chadema mjiandae kisaikolojia,anguko lenu linakuja

wa kujiandaa kisaikolojia ni yule mwenye nacho(ccm) linapokuja suala la kuloose manake hajui kutawaliwa na kuongozwa.
Na mwenye anguko ni ccm kwani safari hii hakuna kuibiwa. Wasijidanganye kwani mwisho wa uongo na wizi wao upo maungoni mwao unawawasha.!
 
Mwanzoni niliamini CDM inaweza kuwa mbadala wa CCM ila kwa sasa sioni mbadala wake zaidi ya giza totoro la kisiasa.

Natangaza rasmi kuhama CDM leo tar 7/1/14 pia nitaipigia kura ya ndio CCM uchaguzi ujao 2015.

ehe mungu nisaidie!!
 
Guys get serious.kumdhihaki lisu ni ulevi.zito kabwe ni ndumila kuwili.hafai kwa lolote akafie mbali.MTU mnafiki ni hatar kuliko cancer
 
its too shame to Compare Hon.Lissu with Albert Msando,.

Lissu is fighter forever and he still strugless until the rights is retained!!

Let's be patience!
 
Dogo nani kakudanganya kwamba mwenye Credit hapo ni Albert Msando? Mwenye Credit hapo ni CCM! Hata kama jiwe lingekuwa wakili, lingeshinda! The Judiciary of Tanzania is not yet independent! NOT YET UHURU!!!!

we mpe CV bana!!km huna kamalizie gongo yako!
 
Mwanzoni niliamini CDM inaweza kuwa mbadala wa CCM ila kwa sasa sioni mbadala wake zaidi ya giza totoro la kisiasa.

Natangaza rasmi kuhama CDM leo tar 7/1/14 pia nitaipigia kura ya ndio CCM uchaguzi ujao 2015.

ehe mungu nisaidie!!

mawazo yako ya ki g nga hayawezi kushabikiwa na yeyote mwenye akili timamu wewe ccm kaa huko wenye uwelewa kamili tunajua nini tunataka na tutakipata wapi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…