Njowepo
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 9,710
- 2,226
Generally speaking Tz cs ni ndoto ya mchana.
Ingawa si wote kuna baazi ya maeneo wanawavalue wateja.
Juzi line yangu ya Celtel iliblock nikwatumia email na ndani ya Dk 2 nikapigiwa simu na kupewa PUK namba zangu via my altenative number.
Baada ya kuactivate ile namba my line ikawa on,then nikapigiwa tena simu kukonfirm kuwa my number iko okey.Though such things are rare but watz tuna tatizo la kutoreport mambo kwa wahusika.
Nakupa mfano mwingine umeme ulikatika home nikampigia manager wa Tanesco all over sudden akatuma watu wake wakaja fix
Mimi nilivyo nikikutwa na tatizo huwa nareport kwa wahusika wakuu and not otherwise labda ndo maana huwa napata ufumbuzi.
Ila its a fact CS ni poor tz
Ingawa si wote kuna baazi ya maeneo wanawavalue wateja.
Juzi line yangu ya Celtel iliblock nikwatumia email na ndani ya Dk 2 nikapigiwa simu na kupewa PUK namba zangu via my altenative number.
Baada ya kuactivate ile namba my line ikawa on,then nikapigiwa tena simu kukonfirm kuwa my number iko okey.Though such things are rare but watz tuna tatizo la kutoreport mambo kwa wahusika.
Nakupa mfano mwingine umeme ulikatika home nikampigia manager wa Tanesco all over sudden akatuma watu wake wakaja fix
Mimi nilivyo nikikutwa na tatizo huwa nareport kwa wahusika wakuu and not otherwise labda ndo maana huwa napata ufumbuzi.
Ila its a fact CS ni poor tz