zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,240
- 3,910
Kaka zomba utanivunjia TV yangu bure na uwezo wa kununua nyingine sina. nitakutolea copy nikutumie mkuu uangalie ukiwa kwako
Njoo basi na kopi tuangalie kwangu. Utapendelea nikutayarishie nini? bisi za siagi? Gahwa na kashata? au crisps za muhogo kwa ukwaju na pilipili? ooooh, jirani yangu wanauza bajia nzuri za kunde kwa chatni ya machicha ya nazi na pilipili kichaa, labda utapendelea hiyo?