CUF yataka Eddy Riyami aachiliwe haraka

CUF yataka Eddy Riyami aachiliwe haraka

Chama cha CCM Zanzibar lazima kiondoke madarakani kama aliyoondoka Firauni!
 
Hivi cuf bado wanafikiri wanaweza kusikilizwa na policcm? Wanajisumbua tu kutoa taarifa hizi ambazo haziwezi kuleta matokeo yoyote. Nchi za kiafrica lazima zipitie tanuru baya kama walilopitia Kenya ndo wapate adabu. Kenya wanaheshimiana knoma wakati huu. Viongozi wetu watuhurumie kwakweli.
Hebu jaribu wewe ili uwe mfano kwa wengine
 
Cuf hili la kukamata viongozi wake wasiliruhusu kabisa kama anakosa apelekwe mahakamani na kama hana aachiwe
 
CUF punguzeni kulalami, haki haijawahi patikana kwa kulalamika bali kwa kutafutwa, CUF ingekuwa bado mnatumia sera ya jino kwa jino hawa wakina Jecha wasingekuwa wanafanya ujinga
 
Labda kuna taarifa za kiintelijensia zilizomfanya aswekwe ndani!
Hawana lolote mkuu......naamini ni ubabe tu na mkandamizo wa democrasia......Africa tena......halafu tunaongelea Tanzania Nchi yenye wananchi Malofa.....kama tulivyoitwa na Rais mstaafu.....haya mambo yanatia uchungu sana.
 
CCCM wanahubiri amani huku wakiminya Democrasia.........
 
Kwani umeambiwa wamelazimishwa ? hivi mnakaa angalau mkasoma vizuri ama kusikiliza hizi habari zinaporipotiwa? Jecha amewaambia hawajafuata taratibu na ndio maana akawambia tume inawatambua kama washiriki sasa si wafuate taratibu kesi ishe, ata kwenye upatu huwezi kuamka ukasema ati mimi najitoa kuna taratibu zake bhana kubwa..munaendekeza sana siasa za hisia kuliko uhalisia .
Una maansha uchaguzi ulifutwa kwa kufuata taratibu?
au ndo muhemko wa kisiasa humu JF?
 
@: Haijalishi ulaini wa maneno watakayotumia lakini mantiki inabaki ile ile, niwekee hapa kifungu cha katiba kinachoeleza kuwa Mwenyekiti wa ZEC anaweza kufuta uchaguzi na kuamuru urudiwe kwa kadri atakavyo yeye na kama hakipo tusipotezeane muda. Refa aliyeharibu pambano lililopita hana uhalali wa kimaadili kuchezesha mechi ya marudio.

Riyami is a troublemaker tangu zamani; hawa ni wapinzani wa Mapinduzi anatumiwa na maadui walishindwa 1964. Ni uchaguzi wake; mwache ajipime. Alijitakia.
 
Back
Top Bottom