CUF yataka Eddy Riyami aachiliwe haraka

CUF yataka Eddy Riyami aachiliwe haraka

Mm
Kwa taarifa yako hYo Jecha mwenyewe vigungu alivyotumia havihusiano na marudio ya uchaguzi ulio futwa n vya uchaguzi ulio ailishwa, achilia mbali kutokuwa na mamlaka ya kufuta uchaguzi..Haya we huyaoni? Nyinyi ndo mnao sababisha Hadi wakina Trump watuwone waafrika wote wapumbavu..Tuache unafiki!
wewe kuonekana mpumbavu na Trumph unapungukiwa nini?
 
[HASHTAG]#freezanzibar[/HASHTAG] [HASHTAG]#freeEddyRiyamy[/HASHTAG]
 
Museveni style hence adopted. More to come as the clock is ticking down to 20th March.
 
Matamko kama haya ifike kipindi yaambatane na Actions.
Hawa jamaa ni Kama Kenge hawasikii
 
Back
Top Bottom