Wewe unashangaa nini? Hujaona mke akibadili dini yake baada ya kuolewa?
Ndio namshanaa makamu wa Rais Zanzibar anatishia wana CCM watakaopendekeza serikali tatu kuwa warudishe kadi. Sasa katiba ni ya ccm au nchi?Hivi maswala ya muungano ni misimamo na sera za vyama na sio maoni ya wananchi tena??????????
Hata kama huwaendi usiwasingizie. Waliotaka serikali 2 ni wabunge wa CCM Zanzibar. mimi nilihudhuria hiyo press conf.Katika pigo kubwa tulilopata
Tanzania ni CUF kutoka kuwa imara cha upinzani na kukosa mwelekeo
kabisa. Sera za CUF ambazo wamekuwa wanazihubiri miaka yote ni kuwa na
serikali tatu katika muungano. Nimesoma Mwananchi ya leo eti wabunge wa
Znz wakiwemo wa CUF wanasema wao wanataka tuendelee na serikali mbili na
kwamba wanaotaka serikali tatu wanataka kuleta fujo. Sasa CUF kama
chama mmebadili sera lini au kwa vile CCM wanasimamia hapo? Ndio maana
naipenda Chadema ina Msimamo
Katika pigo kubwa tulilopata Tanzania ni CUF kutoka kuwa imara cha upinzani na kukosa mwelekeo kabisa. Sera za CUF ambazo wamekuwa wanazihubiri miaka yote ni kuwa na serikali tatu katika muungano. Nimesoma Mwananchi ya leo eti wabunge wa Znz wakiwemo wa CUF wanasema wao wanataka tuendelee na serikali mbili na kwamba wanaotaka serikali tatu wanataka kuleta fujo. Sasa CUF kama chama mmebadili sera lini au kwa vile CCM wanasimamia hapo? Ndio maana naipenda Chadema ina Msimamo
Wewe unashangaa nini? Hujaona mke akibadili dini yake baada ya kuolewa?