CUF waigawia ofisi yao CHADEMA

CUF waigawia ofisi yao CHADEMA

dah ilikuwaje mpaka CUF ikaamua kutoa hilo tawi? Mia naomba unijuze mkuu.....
Honestly CUF ni chama kilichoistawi nchi jirani ya Zanzibar
 
Habari haijakaa vema imekuwaje wakaipa chadema ofisi je wamefanya hivyo kwa mapenzi au wamelaghaiwa?
 
dah ilikuwaje mpaka CUF ikaamua kutoa hilo tawi? Mia naomba unijuze mkuu.....
Honestly CUF ni chama kilichoistawi nchi jirani ya Zanzibar

kazi nzuri inayofanywa na CHADEMA ndo imefanikisha hili.baadhi ya wanacuf wametuunga mukono wengine hawajakataa wala kukubali wapo nutral.ni katika hali ya kuunganisha nguvu ya kumtoa diwani wa ccm bw.Kimati.
kimati ameshindwa kuwatetea wakazi wa kurasini hadi baadhi wakabomolewa nyumba zao na wahindi kwa malipo kiduchu.mia
 
Habari haijakaa vema imekuwaje wakaipa chadema ofisi je wamefanya hivyo kwa mapenzi au wamelaghaiwa?

wenyewe wanasema uongozi wa juu hauwaungi mkono na katika uchaguzi wa 2010 mgombea wa chadema alifanya vizuri sana kwa kujikusanyia kura nyingi.iwapo CUF wangetuunga mkono mapema kata hii ingekua inaongozwa na chadema coz ccm walituzidi kura kidogo sana.ni katika hali ya kukomboa nchi sababu wote njia yetu ni moja kufikia ukombozi wa kweli.Ntawawekeeni picha.mia
 
Bora hata wengewapa kinamama wafungue mama ntilie kuliko kuwapa hao magwanda, wanaochochoea uvunjifu wa AMANI!
 
Katika hali isiyo ya kawaida CUF wameamua kutupa sisi CHADEMA ofisi yao ya tawi waliyokuwa wanaitumi.Tayari tumeshafuta maandishi ya CUF na kuandika maandishi ya CHADEMA na kupandisha bendera.

Mungu akijalia kesho Jumamosi tutafuta nembo ya CUF Iliyoandikwa wakeleketwa wa CUF na kuandika WAKELEKETWA WA CHADEMA.Hili tawi la CUF ni lile ambalo lipo KURASINI DAR ES SALAAM karibu na MSIKITI MDOGO hapa relini.

Natumia nafasi hii kuwashukuru wanaCuf na CCM wanaoendelea kuiunga mkono CHADEMA.

Asanteni sana.Mia

hongereni kwa kufunga ndoa ya mkeka. CUF wajanja kweli hiyo wametoa POSA au ni mahari kabisa?
 
Namna nzuri ya kuunganisha nguvu, mshirikiane kuimarisha tawi hilo.
 
Katika hali isiyo ya kawaida CUF wameamua kutupa sisi CHADEMA ofisi yao ya tawi waliyokuwa wanaitumi.Tayari tumeshafuta maandishi ya CUF na kuandika maandishi ya CHADEMA na kupandisha bendera.

Mungu akijalia kesho Jumamosi tutafuta nembo ya CUF Iliyoandikwa wakeleketwa wa CUF na kuandika WAKELEKETWA WA CHADEMA.Hili tawi la CUF ni lile ambalo lipo KURASINI DAR ES SALAAM karibu na MSIKITI MDOGO hapa relini.

Natumia nafasi hii kuwashukuru wanaCuf na CCM wanaoendelea kuiunga mkono CHADEMA.

Asanteni sana.Mia

Kutokana na hali mbaya ya uchumi CCM wameona si vema kuwa na ofisi mbili mbili (Ofisi za CCM-B), hivyo chama mama kimeamua ku-consolidate shughuli zao kwa kutumia ofisi moja. Very Economical thinking.
 
ni ofisi tu au hata wadau wamejiunga na cdm?


Mkuu vita ikichapwa mateka kama huwa hai ina maana hawakufa huwa wanachukuliwa na wapinzani wao .Na hawa KAFU nao kuamua kutoa jengo ina maana ni wao pia wameamua kuwa wanachama hapo hapo .
 
.....wamesoma alama za nyakati hao, hawataki kufia mtaroni kama Gaddafi, waacheni CCM kwenye karavati waendelee kubleed kabla ya kupelekwa misrata
 
Teh teh teh du kazi nzuri,wameamua kujisalimisha mapema well,wamesoma nyakati hawajasubir mabaya zaid kama ya Gadafi.
 
Bora hata wengewapa kinamama wafungue mama ntilie kuliko kuwapa hao magwanda, wanaochochoea uvunjifu wa AMANI!
Ulipogombana na mkeo jana ulichochewa na CDM?? Acha kuweweseka.
 
Back
Top Bottom