Albert Msando
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 1,019
- 171
- Thread starter
-
- #41
Chadema ni chama cha kanisa tu muna wasi wasi na ccm kuweka raisi muislamu ndio hasira zote muna ona maslahi ya kanisa yanahatarishwa.
kwani kuna ushahidi majimbo mengine mulishirikiana na ccm kuchakachuwa matokeo ili cuf isishinde
Nawasalim WanaCUF,
Bila kung'ata wala kumung'unya maneno ninyi ni wanafiki. Wanafiki sana.
Kwa nini nawashutumu? Kwa sababu tabia ya unafiki haijifichi. Hata kama wengine wote hawaioni ila mwenye tabia anajua kwamba anachofanya ni unafiki.Mnawashutumu CDM kwamba ni kikwazo cha upinzani. Mnasema CDM wanadharau maamuzi ya ya wazanzibari kuhusu serikali ya umoja wa kitaifa.Mara mnakurupuka na kusema mnaenda kuwashtaki CCM kwa wananchi. Wananchi wapi? Watanzania Bara peke yake au pamoja na Visiwani?Hayo mnayoenda kuwashtakia kwa wananchi, i.e. Malipo ya dowans, bei za bidhaa, mgawo wa umeme, nk wananchi wanaishi nayo. Wanayajua. Pia CDM wameshawaambia. Lakini, kama CCM ndio chanzo, ni huku Bara peke yake? CCM wameshindwa Bara peke yake? Visiwani mnamshtaki nani?Hapa ndipo unafiki unapokuwa wazi. Hakuna asiyeuona unafiki wenu. Visiwani ninyi ni serikali. Matatizo ya wananchi mnatakiwa kuyatatua kama serikali. Hicho ndicho mlichokubaliana na CCM. Huku Bara ninyi ni upinzani mkishirikiana na TLP, NCCR na UDP. Mnapinga au kukosoa wanayofanya CCM. Mnajidai kutokuona tatizo hapo.Hata kama muungano una matatizo hii nchi bado ni moja. Hatuna serikali tatu.Tuna serikali mbili. Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar na Serikali ya Jamhuri ya Muungano. Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar inawakilishwa kwenye Serikali ya Jamhuri. Kwa hiyo mpo kwenye Serikali.Je mnataka tuamini mnaenda kujishtaki au hamna uwezo wa kuleta mabadiliko mkiwa ndani ya serikali yenu? Mnataka kuwa serikali na upinzani kwa pamoja?Huwezi kula keki yako na kubaki nayo; you can not eat your cake and have it.CUF, you have made a political mistake and error. Rectify it. The train is moving. Acheni kuwa wanafiki. It will push this country further down the abyss.
Mkuu.Kwa hiyo ni chama kipi ni cha msikiti tu? Unadhani CCM wataweka mgombea U-Raisi Muislam?
Hayo majimbo ambayo CCM ilishirikiana na CDM ili CUF isishinde ni ni yapi?
Na je Zanzibar CDM imeshirikiana na CCM pia?
Naweza nikawa natumia nguvu nyingi ya kufikiri kujadiliana na mtu ambaye haelewi anachokisema na hajui anachokiandika....niondoe wasiwasi kwa kunieleza 'muna' 'muna' ni kiswahili cha wapi?
nimeona madiwani wa cuf mwanza, nimeona madiwani wa cuf musoma ( mara), nimeona madiwani kagera, kumbe wapemba wengi. hapo kwenye red tufahamishe vizuri wewe chadema-kata
Mkuu.
kama nilivyosema mwanzoni.malumbano na kuitana majina ni yenu CHADEMA na CUF.
Hilo la Kiswahili ndio nitajaribu kutoa mchango.
Mimi nina wasiwasi. ....sisi tuna wasiwasi ............mimi ninaona
Wewe una wasiwasi. ninyi, nyinyi muna wasiwasi. .........ninyi munaona
yeye ana wasiwasi. ....wao wana wasiwasi.
Kama ni mtumia muna basi imo katika kiswahili sanifu.
Kama umeona inatumika visivyo basi ni vyema umueleweshe huyo mtumiaji, mwandishi.
Mkuu..nimefurahi kuona bila ya kuuma maneno umeanza kuitamka Tanganyika.
We all should do the same!
Hao madiwani wa cuf hawako Mwanza nzima, wala Mara nzima wala Kagera nzima ni kwa baadhi tu ya maeneo ya mikoa hiyo. Ingekuwa vizuri ungetaja idadi ya madiwani kwa kila mkoa kati ya hiyo uliyoitaja kuwa ina madiwani wa cuf. Kwa mantiki hiyo hayo maeneo machache "yenye madiwani wa cuf" ina maana yana wapemba wengi.
Kama si hivyo mbona hutaji suala la ubunge? Kwa nini cuf haina wabunge katika maeneo hayo uliyoyataja? Au wabunge sio viongozi?
Samahani kwa kuwaingilia mjadala wenu.
Nawasalim WanaCUF,
Bila kung'ata wala kumung'unya maneno ninyi ni wanafiki. Wanafiki sana.
Kwa nini nawashutumu? Kwa sababu tabia ya unafiki haijifichi. Hata kama wengine wote hawaioni ila mwenye tabia anajua kwamba anachofanya ni unafiki.
Mnawashutumu CDM kwamba ni kikwazo cha upinzani. Mnasema CDM wanadharau maamuzi ya ya wazanzibari kuhusu serikali ya umoja wa kitaifa.
Mara mnakurupuka na kusema mnaenda kuwashtaki CCM kwa wananchi. Wananchi wapi? Watanzania Bara peke yake au pamoja na Visiwani?
Hayo mnayoenda kuwashtakia kwa wananchi, i.e. Malipo ya dowans, bei za bidhaa, mgawo wa umeme, nk wananchi wanaishi nayo. Wanayajua. Pia CDM wameshawaambia.
Lakini, kama CCM ndio chanzo, ni huku Bara peke yake? CCM wameshindwa Bara peke yake? Visiwani mnamshtaki nani?
Hapa ndipo unafiki unapokuwa wazi. Hakuna asiyeuona unafiki wenu. Visiwani ninyi ni serikali. Matatizo ya wananchi mnatakiwa kuyatatua kama serikali. Hicho ndicho mlichokubaliana na CCM.
Huku Bara ninyi ni upinzani mkishirikiana na TLP, NCCR na UDP. Mnapinga au kukosoa wanayofanya CCM. Mnajidai kutokuona tatizo hapo. Hata kama muungano una matatizo hii nchi bado ni moja. Hatuna serikali tatu.
Tuna serikali mbili. Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar na Serikali ya Jamhuri ya Muungano.
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar inawakilishwa kwenye Serikali ya Jamhuri. Kwa hiyo mpo kwenye Serikali.
Je mnataka tuamini mnaenda kujishtaki au hamna uwezo wa kuleta mabadiliko mkiwa ndani ya serikali yenu? Mnataka kuwa serikali na upinzani kwa pamoja?
Huwezi kula keki yako na kubaki nayo; you can not eat your cake and have it.
CUF, you have made a political mistake and error. Rectify it. The train is moving. Acheni kuwa wanafiki. It will push this country further down the abyss.
Nonda, nakumbuka the post uliyoweka hapa ambayo kwa kiasi fulani imechagia sana kunifanya nifikirie kwanini jina Taganyika 'lilikufa' na Zanzibar likabaki. Nagundua kwamba ingawaje lengo lilikuwa Tanganyika isiwepo kwa jina lakini nchi ilibaki.
Alichofanya Nyerere ni kama mbinu alizotumia mama mmoja wa kambo aliyekuwa na mtoto wake mmoja (dhana ya Tanganyika) na watoto wawili wa mume wake (dhana ya Tanzania na Zanzibar). Alichofanya ni kuonesha kuwapenda sana watoto wa kambo, kiasi kwamba alikuwa anawapa chungwa moja kila mmoja kwa mfano, na kuwaambia wamgawie ndugu yao nusu. Hatimaye mwanawe akawa anaambulia 1/2+1/2 =1, wakati wale wa kambo wanabakia na 1/2 tu kila mmoja.
Mkuu.Kwanza asante sana kwa hiki kiunganishi. Lakini mada hii ilikusudiwa kuwachonoa wana CUF watoe majibu. Kiunganishi ulichotuwekea ni cha Wazanzibari wanajadili katiba mpya, hivyo unaposema Hawa wameanza unakusudia nani? CUF au Wazanzibari? Ikiwa ni CUF, Wazanzibari wote ni CUF au CUF ni Wazanzibari?
Nonda, nakumbuka the post uliyoweka hapa ambayo kwa kiasi fulani imechagia sana kunifanya nifikirie kwanini jina Taganyika 'lilikufa' na Zanzibar likabaki. Nagundua kwamba ingawaje lengo lilikuwa Tanganyika isiwepo kwa jina lakini nchi ilibaki.
Najua unafahamu tafsiri ya nchi ni nini. Turudi kwenye tafsiri hiyo.
Hao madiwani wa cuf hawako Mwanza nzima, wala Mara nzima wala Kagera nzima ni kwa baadhi tu ya maeneo ya mikoa hiyo. Ingekuwa vizuri ungetaja idadi ya madiwani kwa kila mkoa kati ya hiyo uliyoitaja kuwa ina madiwani wa cuf. Kwa mantiki hiyo hayo maeneo machache "yenye madiwani wa cuf" ina maana yana wapemba wengi.
Kama si hivyo mbona hutaji suala la ubunge? Kwa nini cuf haina wabunge katika maeneo hayo uliyoyataja? Au wabunge sio viongozi?
Samahani kwa kuwaingilia mjadala wenu.
chatu dume "nimeona madiwani wa cuf mwanza, nimeona madiwani wa cuf musoma ( mara), nimeona madiwani kagera, kumbe wapemba wengi. hapo kwenye red tufahamishe vizuri wewe chadema-kata"
Njoo mwanza CUF wana diwani mmoja wa kata ya Mirongo ambayo iko kati kati ya jiji la mwanza na mitaa inayounda hiyo kata ni Unguja, rufiji, Uhuru nk, ana angalia wakazi wengi wa mitaa hiyo ni watu gani maana majina tu ya mitaa yanakutambulisha , my brother dont shout as if you have never been to school, CDM alaways huwa hatuongei kama hatuna ushahidi, ni sera na ipo kwenye katiba ya CDM, tofauti na nyinyi CCM,CCMb ambao Umakamba na Umatatiro umewajaa ( uropokaji na ukurupukaji)