Naipendatz
JF-Expert Member
- Jul 27, 2011
- 5,091
- 8,243
Leo ndio mnaliona hili?CUF hamna Kitu kabisa.
Leo ndio mnaliona hili?CUF hamna Kitu kabisa.
busara zilitumika na sio fujo ndo maana ikawa rahisiSwali ambalo CUF wanatakiwa watujibu watanzania ni kwanini walikuwa wepesi kukubali kuungana na CCM kuunda serekali ya mseto Zanzibar na kuwa wepesi wa kutaka kujitoa kwenye umoja wa UKAWA ambapo ingekuwa rahisi kuiondoa CCM madarakani?.
Najua wanajamii mnaaminishwa kwamba CUF ni wabinafsi jambo ambalo sio sahihi. Katika UKAWA cuf ndicho chama pekee chenye kukubalika pande zote za muungano. Kimantiki ni cuf pekee wenye uwezo wa kupata Mgombea na makamu wake katika muungano.
Chadema wapo bara hawatapata mgombea mwenza zanzibar. wanalazimisha cuf wamtoe mwanachama hai mmoja aingie chadema.. why tufanye hivi wakati cut tarari anafiti vigezo?
Mnasema mmetuachia zanzibar ... hii sio kweli, Zanzibar ukiondoa magamba tunaobaki ni cuf.... so kutubania bara ni sawa na kuturudisha nyuma tubaki kisiwani tu...
HAKIIII SAWAAAA
Cuf ngangari...haki sawa kwa wote!
chadema wanataka wasikilizwe wao tu
Salum Mwalimu hawezi kuwa mgombea mwenza?
cuf kama mna kubalika bara msingekuwa na wabunge wa2 acha masihara wewe cdm wana vijana machachari hawawez kufanana na vilaza kama shaweji mketo na abdul kambaya
Swali ambalo CUF wanatakiwa watujibu watanzania ni kwanini walikuwa wepesi kukubali kuungana na CCM kuunda serekali ya mseto Zanzibar na kuwa wepesi wa kutaka kujitoa kwenye umoja wa UKAWA ambapo ingekuwa rahisi kuiondoa CCM madarakani?.
Tatizo la chadema ni ubinafsi na udini,hawataki muislamu lipumba aongoze ukawa
Wakijibu hili swali najitoa jfSwali ambalo CUF wanatakiwa watujibu watanzania ni kwanini walikuwa wepesi kukubali kuungana na CCM kuunda serekali ya mseto Zanzibar na kuwa wepesi wa kutaka kujitoa kwenye umoja wa UKAWA ambapo ingekuwa rahisi kuiondoa CCM madarakani?.
Najua wanajamii mnaaminishwa kwamba CUF ni wabinafsi jambo ambalo sio sahihi. Katika UKAWA cuf ndicho chama pekee chenye kukubalika pande zote za muungano. Kimantiki ni cuf pekee wenye uwezo wa kupata Mgombea na makamu wake katika muungano.
Chadema wapo bara hawatapata mgombea mwenza zanzibar. wanalazimisha cuf wamtoe mwanachama hai mmoja aingie chadema.. why tufanye hivi wakati cut tarari anafiti vigezo?
Mnasema mmetuachia zanzibar ... hii sio kweli, Zanzibar ukiondoa magamba tunaobaki ni cuf.... so kutubania bara ni sawa na kuturudisha nyuma tubaki kisiwani tu...
HAKIIII SAWAAAA
2010 Lipumba alimsaidia Kikwete ashinde,vipi awamu hii??!! wakati mnamsaidia Kikwete na CCM yake mlikuwa hamkubaliki bara??!!