Gwallo
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 3,705
- 5,316
2010 Lipumba alimsaidia Kikwete ashinde,vipi awamu hii??!! wakati mnamsaidia Kikwete na CCM yake mlikuwa hamkubaliki bara??!!
Lipumba kwenye Clip anasema wazi kuwa tuliamua kumsaidia mwenzetu kwa maana ya mwislamu, hakuna kitu hapo CUF bila ukawa ccm haitahisi kama hata palikuwa na wapinzania ktk uchaguzi ujao acheni hizo...........