CUF tunakubalika bara na Zanzibar

CUF tunakubalika bara na Zanzibar

2010 Lipumba alimsaidia Kikwete ashinde,vipi awamu hii??!! wakati mnamsaidia Kikwete na CCM yake mlikuwa hamkubaliki bara??!!

Lipumba kwenye Clip anasema wazi kuwa tuliamua kumsaidia mwenzetu kwa maana ya mwislamu, hakuna kitu hapo CUF bila ukawa ccm haitahisi kama hata palikuwa na wapinzania ktk uchaguzi ujao acheni hizo...........
 
..ok.

..chadema watoe mgombea uraisi zanzibar.

..cuf watoe mgombea uraisi wa muungano.

..nadhani vyama vyote vitaridhika.

Cc Mkandara, Nguruvi3, Ritz, Kimweri
kwa hiyo limekuwa swala la vyama kuridhika..Hawa sii walisema UKAWA ni watetezi wa Katina ya wananchi na wanaungana kugombea kwa maslahi ya wananchi?

Mkuu nilikwambieni mapema hapo hakuna kitu, kazi ilikuwa kuimaliza Chadema hivi sasa hata wakiweka mgombea Urais haitasaidia kitu imeshakuwa kama NCCR 1995 au CUF 2000...
 
Back
Top Bottom