Mtatiro kasema kweli...kuwa wanajiandaa kurudisha heshima ya CUF iliyopotea... ukisoma hapa maana yake hata kuanza kurudisha hawajaanza, bado wanajiandaa, na hii kujiandaa wataendelea kujiandaa mpaka 2015. Ni ukweli kabisa na namsifu Mtatiro kwa hili kuwa amekuwa muwazi kuwa CUF imepoteza heshima kwa wananchi kwa kukubali ndoa ya mkeka na CCM na ambayo hata mahari haina!!!!