CUF nao waanza kuonja machungu ya CCM

CUF nao waanza kuonja machungu ya CCM

Nawaonea huruma mno wananchi wa Mtwara ,ni kweli kabisa hakuna habari za mtwara tena inasikitisha mno, sasa cuf watambue kuwa nyuki hakumbatiwi
 
Nawaonea huruma mno wananchi wa Mtwara ,ni kweli kabisa hakuna habari za mtwara tena inasikitisha mno, sasa cuf watambue kuwa nyuki hakumbatiwi
Nipo Mtwara Huku kichapo kinatembea kwa kwenda mbele lakini muda si mrefu watu wataanza kujitoa muhanga
 
Sarcastic answers hayawezi kusaidia hata kidogo.. Leo wa mtwara tumebahatika kinachoendelea na wengi wakijibu kimzaha na kuwadhijaki cuf. Lakini si siku nyingi tu hapa, watu hawa hawa walisema damu iliyomwagika ni ya watanzania ukombozi unakaribia.. Sijui ni kwa sababu hao watz walikuwa wa cdm ama lah?

Katika tukio la mtwara, kama kumbukumbu zangu zipo sahihi watu walio wengi humu katka nyuzi mbalimbali zilizohusisha mtwara kwa kipindi kile walitoa michango kuonesha jinsi wananchi walivyochukia jinsi ya polisi wanavyoendesha operesheni zao juu ya raia na kuanza kusifia kuingia kwa jeshi na kufanya doria.. Wengi walisema jeshi walikuwa waelewa na watu waliwafurahia na kutii kila walichokuwa wanaamriwa kufanya

Maswali machache madogo ni kwanini watu wachache tu wakamatwe na kufanyiwa hayo yote? Ama kwa nini vyombo vya habari viache kutoa taarifa juu ya mambo yanayojiri mtwara? Ama huku kuteswa kuna uhusiano wowote na watu ambao jeshi liwe la polisi au wananchi linadhani wanahusika ama walihusika katka uchochezi ambao wengi tunauita ukombozi.. Juu ya ujenzi wa bomba gesi ya mtwara??? Naamini jeshini kuna sheria na utii wa hali ya juu.. Ningesema ni udharimu wa hali ya juu kama watu hawa wanakamatwa na kupelekwa kusiko julikana.. Ila ningependa kujua zaidi
 
machungu CUF hayajaanza leo, yalianzia kabla 1995,
nyinyi cdm hamjapata machungu kama waliopata CUF, nyinyi ni warembo sn, shida zote mlizopata, CUF alishazpata miaka mingi nyuma,
kw kukumbushia tu kama umekua na ubongo wa kuku
cuf wameuliwa kw wingi tu, wamefukuzwa makazini, wamepigwa mabomu, wamechomewa nyumba zao, wameishi ukimbizini, wamefukuzwa kwao, wananyimwa ajira, wamepgwa virungu, wamefungwa n.k nakuachia umalzie pengne utakumbuka nmeshakuboost.
upnzani mumeuwanza juzi tu nyinyi na ndio mana mnajsahau na kujhisi wapnzani ni nyinyi tu, kumbe wapingaji.
poleni sn kw kusahau historia ya ndani ya miaka isiozid 20 kw kuendekeza ushabiki wa kibugusa na ujinga
 
you cannot make a deal with devil... cuf re assess yourself whether you still need to remain hypocrite and supporter of ccm or not... kumbuka kauli ya lipumba kuwa mlimsaidia mkuu wa kaya mwaka 2010..
 
Sarcastic answers hayawezi kusaidia hata kidogo.. Leo wa mtwara tumebahatika kinachoendelea na wengi wakijibu kimzaha na kuwadhijaki cuf. Lakini si siku nyingi tu hapa, watu hawa hawa walisema damu iliyomwagika ni ya watanzania ukombozi unakaribia.. Sijui ni kwa sababu hao watz walikuwa wa cdm ama lah?

Katika tukio la mtwara, kama kumbukumbu zangu zipo sahihi watu walio wengi humu katka nyuzi mbalimbali zilizohusisha mtwara kwa kipindi kile walitoa michango kuonesha jinsi wananchi walivyochukia jinsi ya polisi wanavyoendesha operesheni zao juu ya raia na kuanza kusifia kuingia kwa jeshi na kufanya doria.. Wengi walisema jeshi walikuwa waelewa na watu waliwafurahia na kutii kila walichokuwa wanaamriwa kufanya

Maswali machache madogo ni kwanini watu wachache tu wakamatwe na kufanyiwa hayo yote? Ama kwa nini vyombo vya habari viache kutoa taarifa juu ya mambo yanayojiri mtwara? Ama huku kuteswa kuna uhusiano wowote na watu ambao jeshi liwe la polisi au wananchi linadhani wanahusika ama walihusika katka uchochezi ambao wengi tunauita ukombozi.. Juu ya ujenzi wa bomba gesi ya mtwara??? Naamini jeshini kuna sheria na utii wa hali ya juu.. Ningesema ni udharimu wa hali ya juu kama watu hawa wanakamatwa na kupelekwa kusiko julikana.. Ila ningependa kujua zaidi
Mkuu nani akujuze kama unamashaka na unachojuzwa, cha maana funga safari nenda mtwara, hiii ni njia bora zaidi
 
rayun,
Hakuna asiyejua nguvu ya CUF ila wanaulinza nini kilichofanya wa-retreat kuwa chama cha upinzani? Hilo hata wewe hufundishwi unalijua kabisa.

Ndo maana waswahili wanasema kila mke ana mme wake ijapokuwa CHADEMA tu ambayo inaogopwa na vyama vyote. mf. ni juzi bungeni bada ya CCM kugawa juice eti "CHADEMA hawapo bungeni tunajisikia amani", wote wakapiga makofi.
 
Kwanini uambiwe umiza mtanzania mwenzako nawe kama zuzu ukubali? Majeshi yetu yanatumiwa vibaya sana na serikali ya CCM.

Wakati unakuja wananchi watasema hapana, hapo ndipo machafuko yatatokea na uasi wa wananchi dhidi ya serikali yao.

ENOUGH !!!

haya ndo matatizo ya kuajiri watu wasio na elimu wao hawawez wakagoma maana watapoteza ajira zao na hawawez tena kupata kazi sehem nyingine
 
Mi siamini kama hali ipo hivyo!suala la kutesa watuhumiwa wa uhalifu sio geni Tanzania.Wapo wengi wameteswa ili wakiri uhalifu wanaotuhumiwa nao na pengine wengi hawajui kuwa wapo wengi magerezani wa jinsi hiyo.Iwapo jeshi lingekuwa linatesa raia kweli,CCM ni wazi wasingeshinda kiti cha udiwani huko Mtwara.Sasa kama hao wanaoteswa taarifa zao hazitolewi na vyombo vya habari,huoni wao waliamua kutoa taarifa kwa njia ya kura?Je ni kweli haya yanaweza kutokea kwa chama cha wastaarabu kama mwenyekiti wao alivyobainisha?Siamini habari hizi.

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
Mtwara nao wanafiki tuu CCM walipataje kura huko!?
 
[h=2]
icon1.png
Re: CUF nao waanza kuonja machungu ya CCM[/h]
Hii nchi imeharibiwa na huyu Rais mtali​


  • ni sawa kabisa rais aka dhaifu unategemea kipi
 
na rudia kusema tena hawa jamaa watapelekwa tu ICC wakajibu tuhuma zao huko
 
Japo linalofanyika si jambo jema, lakini CUF sasa ndo wakubali kwamba ukikubali kuolewa ukubali kulala bila c.hupi. na mwanaume anapomdunda mkewe majirani hunyamaza kimya, na mke huyo akizidiwa ndo huanza kuita majirani wamzaidie hata kama hawaelewani. CUF ACHENI UTOTO KWENYE SERIOUS ISSUES. Mwisho wa CCM ndo huu.
 
mketo mwenyewe na lipumba wanajuwa wamefanya nini mtwara na katika mgogoro wa mtwara. Alikuwa anasakwa and kajipeleka !!! Alitaka kutumia maandamano kukimbia tuhuma zake, atafikishwa mahakamani soon mambo yakiwa sawa. Nasikia katoa maelezo ambayo yanakinzana na wenzake katika group and ametakiwa kusawazisha au kusema kati ya wenzake hao nani kadanganya!!!
 
mketo mwenyewe na lipumba wanajuwa wamefanya nini mtwara na katika mgogoro wa mtwara. Alikuwa anasakwa and kajipeleka !!! Alitaka kutumia maandamano kukimbia tuhuma zake, atafikishwa mahakamani soon mambo yakiwa sawa. Nasikia katoa maelezo ambayo yanakinzana na wenzake katika group and ametakiwa kusawazisha au kusema kati ya wenzake hao nani kadanganya!!!

Tafadhali ni tetesi za mtaani tu
 
Back
Top Bottom