gwang taek
Member
- May 5, 2014
- 60
- 84
Ngome zote za chama cha wananchi cuf kwa miaka mingi hazikuwa na maendeleo yoyote.. Hapa nazungumzia lindi, Mtwara, Rufiji, Pemba, Tanga, Kigoma, Tabora nk.
Hiyo ni mikoa yenye majimbo ambayo yana umasikini na ufinyu wa elimu.
Sasa tutegemee makubwa kutoka ACT WAZALENDO baada ya 2025 katika mikoa hiyo?
maana hadi sasa sioni kama ccm au chadema wakiwa na matumaini yoyote huko.
Pia kwanini CUF na ACT hukimbilia mikoa inayochechemea kiuchumi?
Hiyo ni mikoa yenye majimbo ambayo yana umasikini na ufinyu wa elimu.
Sasa tutegemee makubwa kutoka ACT WAZALENDO baada ya 2025 katika mikoa hiyo?
maana hadi sasa sioni kama ccm au chadema wakiwa na matumaini yoyote huko.
Pia kwanini CUF na ACT hukimbilia mikoa inayochechemea kiuchumi?