CUF na SIASA SAFI

ILI nchi iendelee inahitaji:(quoted)
1. Watu (wapo wakutosha Tanzania)
2. Ardhi (Nayo ipo bwerere iliyosheheni fursa za kilimo, madini na maliasi nyingine kibao)
3 Siasa safi na Uongozi bora (Hapa ndipo penye shida)

Hence:
Adui wa ustawi wa maendeleo kiuchumi na kijamii Tanzania kwa sasa ni siasa chafu na uongozi dhaifu. Watanzania wanahitaji vyama imara vya upinzani (either kwa muungano ama chama madhubuti kuing'oa CCM madarakani)

Kwahiyo adui wetu hapa ni uongozi dhaifu wa CCM. CDM au CUF hawana dola. Cha ajabu vyama vinavyotemewa kuongoza mabadiliko ndio kwanza vinaparurana vyenyewe tena kwa hoja dhaifu kama hasa ya udini tena hadharani mchana kweupeee.

Hebu CUF na CDM hata kama ni vugumu kuungana basi acheni kupigana vijembe kwani vita vyenu (panzi) kunguru (CCM) anangalia kwa hamu mno (divide and conquer) na kwa mtaji huo wote CDM na CUF msahau kuingia ikulu mtaifanya CCM itawale milele!

Halafu nyie CUF niliona jana hoja zetu zinauelekeo wa dini dini hivi, Pia mlikuwa kama mnaunga mkono propaganda za CCM ili ionekane kama CDM huwa ni chanzo cha vurugu. Kumbukeni hata nyie mlipokuwa na nguvu sana mlipigiwa propaganda hizihizi na kuuawa (Kule pemba watu zaidi ya 21 mwaka 2001, mwembechai, Lipumba mwenyewe alisha vunjwa mkono nk). Wakati ule mlikuwa mnalaumu serikali kutumia vibaya dola (POLISI) kuwanyamazisha na mliungwa mkono . Mbona leo mnataka kutuaminisha tofauti?
 
kama ndio hivyo kwanini wasiwagawie wananchi wa Zanzibar kila mmoja dola 100 kwa siku huko Zanzibar na wenyewe si wapo serikalini.
 
ILI nchi iendelee inahitaji:(quoted)
1. Watu (wapo wakutosha Tanzania)
2. Ardhi (Nayo ipo bwerere iliyosheheni fursa za kilimo, madini na maliasi nyingine kibao)
3 Siasa safi na Uongozi bora (Hapa ndipo penye shida)

Hence:
Adui wa ustawi wa maendeleo kiuchumi na kijamii Tanzania kwa sasa ni siasa chafu na uongozi dhaifu. Watanzania wanahitaji vyama imara vya upinzani (either kwa muungano ama chama madhubuti kuing'oa CCM madarakani)

Kwahiyo adui wetu hapa ni uongozi dhaifu wa CCM. CDM au CUF hawana dola. Cha ajabu vyama vinavyotegemewa kuongoza mabadiliko ndio kwanza vinaparurana vyenyewe tena kwa hoja dhaifu kama hasa ya udini tena hadharani mchana kweupeee.

Hebu CUF na CDM hata kama ni vugumu kuungana basi acheni kupigana vijembe kwani vita vyenu (panzi) kunguru (CCM) anangalia kwa hamu mno (divide and conquer) na kwa mtaji huo wote CDM na CUF msahau kuingia ikulu mtaifanya CCM itawale milele!

Halafu nyie CUF niliona jana hoja zetu zinauelekeo wa dini dini hivi, haikupendeza sana ile kauli ya kusema waislamu wote wajiunge na CUF kwa madai eti kwa sababu CUF imeambiwa ni wadini. Najua na ni kweli CUF walisingiziwa kuwa ni wadini wakati ule, lakini hiyo si tiketi ya kuhalalisha hilo kwa kauli hadharani. Pia mlikuwa kama mnaunga mkono propaganda za CCM ili ionekane kama CDM huwa ni chanzo cha vurugu. Kumbukeni hata nyie mlipokuwa na nguvu sana mlipigiwa propaganda hizihizi na kuuawa (Kule pemba watu zaidi ya 21 mwaka 2001, mwembechai, Lipumba mwenyewe alisha vunjwa mkono nk). Wakati ule mlikuwa mnalaumu serikali kutumia vibaya dola (POLISI) kuwanyamazisha na mliungwa mkono . Mbona leo mnataka kutuaminisha tofauti?
 
Kiufupi watanzania wana njaa,maisha magumu,haya mambo ya ufisadi sijui nini ni kelele tu ambazo hazitawashibisha watz,wanataka kusikia mipango madhubuti itakayoiwezesha nchi kuwa na strong middle class,kwa maana ukiwa na middle class ya namna hiyo ni wazi uchumi utakua stimulated nayo,kwa kuwa watu wengi watakua na uwezo wa kununua na kupelekea uzalishaji kuongezeka ambapo ajira nyingi zaidi zitatengenezwa,lipumba anapozungumzia mtu kupewa dola 100 anamaanisha kumuongezea ama kumpa mtanzania purchasing power...

Tatizo la CUF kinajuvunia elimu ya Lipumba as if elimu ya Lipumba ni elimu ya Chama, kama kweli Lipumba anajuvunia elimu yake basi aende chuo kufudisha kuliko kuendelea kusema mimi profesa mimi profesa kwani profesa ni yeye tuu ? hata kule CCM kuna Profesa Majimarefu na ana umaarufu mkubwa kuliko yeye
 
uchadema umewapumbaza kiasi unashindwa hata kupambanua mtu wa kipato cha chini ama sikini anapa wastani ya chini dola moja kwa siku mara 30 days ni takriba dola 30 pato la mtz wa sasa lipumba kwa hesabu mtz atapa dola 100 toka dola 30. Acheni ujuha.
mimi sipo chadema kwa kifupi sina chama chochote kwa sasa. ebu elezea vizuri huo mda mfupi uliosema tanzania inakusanya bil. 400 na nusu. kwasababu huwezi kuniambia cuf inaweza kukusanya hizo bil. 400 na nusu kwa siku. wewe umetoa mfano wa dola 1 kwa siku. elezea hizo dola 100 mtu atakua anazipata kwenye mda gani? kwasababu dola 100 kwa mwezi ni less than 4 dola kwa siku. sasa hiyo dola 1 uliyosema na dola 3 kuna tofauti gani?
 
Kiufupi watanzania wana njaa,maisha magumu,haya mambo ya ufisadi sijui nini ni kelele tu ambazo hazitawashibisha watz,wanataka kusikia mipango madhubuti itakayoiwezesha nchi kuwa na strong middle class,kwa maana ukiwa na middle class ya namna hiyo ni wazi uchumi utakua stimulated nayo,kwa kuwa watu wengi watakua na uwezo wa kununua na kupelekea uzalishaji kuongezeka ambapo ajira nyingi zaidi zitatengenezwa,lipumba anapozungumzia mtu kupewa dola 100 anamaanisha kumuongezea ama kumpa mtanzania purchasing power...

hivi kwenye uchumi watu wanatakiwa kufanya kazi? au kugaiwa pesa ? mbona huu ni umwinyi yaani wafanye kazi wengine wewe usubirie mgaO kwa hili watanzania tuna muda mrefu kupata wananchi werevu. halafu huu ufisadi unaousikia sas ulikuwa unaufahamu kabala ya kutangazwa? na je ni CCM au CUF waliutangaza? na je kuupigia kelele ni kosa? na je wewe umechangia nini katika taifa hili ili hali na wewe bado unapiga kelele? je hiyo middle class itapatikanaje katika nchi yenye ufisadi? TAFAKARI CHUKUA HATUA
 
Back
Top Bottom