CUF na NCCR kupasuka Vipande

CUF na NCCR kupasuka Vipande

slaa kamtumia lipumba madocument wanavyopiga pesa za ric- moooooooooooond

lazima baada ya uchaguzi kushindwa fisadi;

list ya mgawo wa el - itawekwa hadharali

na document ; msg na taarifa za benk zipo

dr anazo


ndo mwanzo wa kungolewa mbowe na vibaraka na demokrasia kuzaliwa upya; el kufurushwa
 
Vyama vyote vitapasuka vipande vipande lakini tofauti na ccm; vyama vya cdm, cuf, nccr, nld na wengineo wataungana chini ya UKAWA na kuunda chama kimoja chenye nguvu huko mbeleni.
Ni sawa na mbegu inayooza baada ya kuwekwa ardhini alafu inapasuka lakini ndani yake kunatokea mche ambao ni matumaini ya mkulima (mwananchi) uitwao UKAWA.
 
Yani mshatutia hasara alafu utatujibu kwa Jeuri twende mahakamani na kura zetu unataka, tutakapoanza kuwa tunawagongea nyumbani kwenu kudai pesa zetu ndo mtapata akili. Mkuu wa Kaya kupiga dili hakuna evidence na lowassa anajua mlivo emotional na mazuzu mtakubaliana nae, Lakin Lowassa kuna Ushahidi unaocompromise.

yote yalifanyika chini ya mwamvuli wa ccm tumeyaona mengi ya ccm hakuna namna nyingine ni kulitoa hili shetani ccm unafikiri kwa nini wananchi wamehasika kujiandikisha
angalia dalili hakuna mwaka yaliotokea kama sasa
 
Tuambie na meli iliyokamatwa na pembe za ndovu uswis ni vipi ni meli ya mv ccm vs kinana na penyewe unazungumziaje mustakabali Wa tembo nchini...........Nimecheka sana
 
Unadhani chama kinaendeshwa na damu, uwekezaji wa PESA, hoja, viongoxi Imara, Udhaifu wa wenzako ni mitaji katika vyama vya siasa
Kama lengo lao lingelikuwa moja, yaani kuondoa mfumo onevu madarakani ingekuwa sawa. Lakini kwa kuwa hata baada ya hapo watabaki kuwa chama pinzani nakubaliana nawe. Wanahitaji ruzuku!
 
Hata kama yapo sio legal, Wanagawana Madaraka kama Nyanya kama Makubaliano yapo yawekwe wazi kwa Maslahi ya wengi.

Unaonaje ukaanza na serikali yako ukaiambia mikataba yote mikubwa ya wawekezaji iwekwe wazi kwa maslahi ya wengi?
 
Back
Top Bottom