Ciril
JF-Expert Member
- Jan 10, 2011
- 8,558
- 7,168
Aina hii ya siasa hata kibwana Dachi wa Magic Fm amesema leo serikali inaliandalia taifa matatizo kwa kutumia kama kete ya siasa
Mkuu watu hawa wenye mawazo ya kidini dini na kuyaingiza kwenye siasa ili kuongeza chuki ni wabaya sana ,ila tuendelee kuwaelimisha maana wapumbavu na wajinga lazima tuwe nao humu duniani.