CUF na NCCR jihadharini sana na CHADEMA

CUF na NCCR jihadharini sana na CHADEMA

CHADEMA ni CCM F maana kila siku walikuwa wanapiga kelele humu kuwa CUF ni CCM B na MASHOGA
 
Naomba niwataadhalishe cuf na nccr kujihadhali sana na chadema. Kuna haja ya vyama hv viwili kuangalia upya mahusiano yao upya na cdm maana cdm ni chama kilichobobea ktk siasa za kususia, kejeli na vurugu.
Cuf na nccr ndo vyama ambavyo vilikuwa vimebaki vya upinzan vnafanya siasa za upinzani kistaarabu lakn muungano wao na cdm utawacost. Nawaasa watafakari haraka na wachukue hatua vingnevyo watajijingea pcha mbaya kwa watanzania na ndo utakuwa mwsho wa upinzan tanzania

umeshindwa kwenda kulala? hata hivo wewe km nani au ndo matron/patron wa vyama vya upinzani? shit
 
Duniani kuna mambo CUF walipewa majina mengi ya kuwakejeli mara wameolewa na CCM nara CCM B,na hawakuwachaguwa Uwaziri kivuli alafu leo wanawasifia,na CUF wameingia CHOO cha kike.
 
Huwa napata tabu sana kupata jibu ninapofikiria ni kwa nini akiri ndogo ya akina Mbowe inaendesha akiri kubwa za akina Lipumba. Mfano,Lipumba alipopewa umwenyekiti wa Bunge maalum katika zile nafasi 5, ni Mbowe aliyemshauri akatae uteuzi huo na alikataa kweli. Baadae Mbowe aliteuliwa yeye na akadaka tonge hilo. Siku UKAWA wanatoka nje ya ukumbi ilikuwa ni Mbowe ndo atangaze kuondoka ukumbini kwa sababu ndiye mwenyekiti wa UKAWA. Lakini jamaa alivyochungulia dili na kwa kujua madhara yake kwa jamii, akaamua kumchomekea Lipumba nae bila kutafakari kaingia choo cha kike. Sasa kituko ni kwamba huko chooni kamkutilizia mkwewe ndo kachojoa. Mhe.Lipumba, kwa nini lakini???????
 
mkuu na wewe ni interahamwe nn? Katiba haina vyama, na vyama hivi havijaungana kama vyama, wameungana kama watanzania wenye malengo yanayofanana kutetea maoni ya wananchi yasichakachuliwe na mainterahamwe!
kwa style hiyo hata ccm nao watajiita wananchi wazalendo wanaotetea maslahi ya nchi
 
UKAWA umeinyima usingizi Lumumba nzima - na bado mtaelewa tu.
 
Bungeni Chadema bado ni upinzani rasmi hamna hata waziri kivuli wa CUF na NCCR.

CUF wamechukuliwa kwa Ride mbaya.
 
Huwa napata tabu sana kupata jibu ninapofikiria ni kwa nini akiri ndogo ya akina Mbowe inaendesha akiri kubwa za akina Lipumba. Mfano,Lipumba alipopewa umwenyekiti wa Bunge maalum katika zile nafasi 5, ni Mbowe aliyemshauri akatae uteuzi huo na alikataa kweli. Baadae Mbowe aliteuliwa yeye na akadaka tonge hilo. Siku UKAWA wanatoka nje ya ukumbi ilikuwa ni Mbowe ndo atangaze kuondoka ukumbini kwa sababu ndiye mwenyekiti wa UKAWA. Lakini jamaa alivyochungulia dili na kwa kujua madhara yake kwa jamii, akaamua kumchomekea Lipumba nae bila kutafakari kaingia choo cha kike. Sasa kituko ni kwamba huko chooni kamkutilizia mkwewe ndo kachojoa. Mhe.Lipumba, kwa nini lakini???????

Unauhakika Mbowe alimwambia Lipumba akate uteuzi?Usiusemee moyo wa mtu.Kikwete amesema akili za kuambiwa changanya na zako.
 
CCM mnavyopenda unafiki, mmeona vyama vimeshirikiana roho zinawauma na sasa mnatamani vitawanyike. Je kesho na kesho kutwa vyama vyote vikiamua na kuwa chama kimoja mtafanyaje?


Acheni tabia za 'DEVIDE AND RULE'
 
nadhan matokeo yashaanza kuonekana. Ukawa bure kabisa
 
Naomba niwataadhalishe cuf na nccr kujihadhali sana na chadema. Kuna haja ya vyama hv viwili kuangalia upya mahusiano yao upya na cdm maana cdm ni chama kilichobobea ktk siasa za kususia, kejeli na vurugu.
Cuf na nccr ndo vyama ambavyo vilikuwa vimebaki vya upinzan vnafanya siasa za upinzani kistaarabu lakn muungano wao na cdm utawacost. Nawaasa watafakari haraka na wachukue hatua vingnevyo watajijingea pcha mbaya kwa watanzania na ndo utakuwa mwsho wa upinzan tanzania
We yanakuhusu nn kama sio umbea.intalahamwe mna shida kweli
 
Huwa napata tabu sana kupata jibu ninapofikiria ni kwa nini akiri ndogo ya akina Mbowe inaendesha akiri kubwa za akina Lipumba. Mfano,Lipumba alipopewa umwenyekiti wa Bunge maalum katika zile nafasi 5, ni Mbowe aliyemshauri akatae uteuzi huo na alikataa kweli. Baadae Mbowe aliteuliwa yeye na akadaka tonge hilo. Siku UKAWA wanatoka nje ya ukumbi ilikuwa ni Mbowe ndo atangaze kuondoka ukumbini kwa sababu ndiye mwenyekiti wa UKAWA. Lakini jamaa alivyochungulia dili na kwa kujua madhara yake kwa jamii, akaamua kumchomekea Lipumba nae bila kutafakari kaingia choo cha kike. Sasa kituko ni kwamba huko chooni kamkutilizia mkwewe ndo kachojoa. Mhe.Lipumba, kwa nini lakini???????

Kama wewe na ukiazi wako tunavyokuvumilia humu jf
 
Hili ilikuwaje CHADEMA ikaungana na "CCM B?"

CCM hamjaonesha nia ya dhati ya kumaliza kero za muungano zilizokuwepo. ccm zanzibar chini ya rais karume wametengeneza katiba inayopingana na ya Tanzania makusudi,ccm ndio walikuwa wengi barazani na hata leo na kesho ukiwauliza kwa nini ccm zanzibar mmefanya hivi hawatakupa majibu. maana yake ni UNAFIKI. raia wa kawaida kutoka bara walifikia kudhuriwa kwa kile kinawatu hawana nia ya chosemwa kuwa tanganyika imeitawala znz, hakuna waziri yeyote znz barazani au kwenye mkutano wa hadhara atasimama na kunadi faida za muungano, Uamsho ni taasisi ambayo imesajiliwa na ccm enzi za rais amani karume kipindi ambacho hakukuwa na serikali ya umoja wa kitaifa, haya yote n yanaonesha kuna unafiki.Tume imesema wazi ,taasisi zimependekeza lakini bado hawataki.CCM Mngekuwa mnataka serikali mbili kwa nini mkaacha znz kubadili vile katiba yake?kwa nini mkaacha kuwaeleza waznz faida za muungano.?kama znz inataka kuendelea kuwa na muungano unaosisitiza tofauti(mimi mzanzibar yule mbara) kuna haja gani ya Tanzania kufanya kazi zote za tanzania na tanganyika?huoni ni kujibebesha mzigo?
 
Back
Top Bottom