Gobret
JF-Expert Member
- Jun 11, 2010
- 320
- 88
Hili wazo la CHADEMA kuungana na CUF sidhani kama ina ubaya wowote kama lengo ni kuunganisha jitihada ktk mambo mengi si lazima iwe kwa uchaguzi tu. Lkn kubwa tunaloliona kwa sasa ni la uchaguzi. Na kama hilo litafanyika iwe kwa vyama vya upinzani vyote kumsimamisha mtu mmoja na kumpigania huyo mtu mpaka ushindi unapatikana.
Ukifanya mahesabu kwa ukaribu ukaangalia matokeo ya chaguzi nyingi mfano Igunga; Kama mfano: vyama vya upinzani wangekuwa wamemsimamisha mtu moja naamini ushindi pale ungepatikana. Lkn uwezo wa kuwafanya wote wakubaliane kufanya jambo mmoja kwa mazingira ya kibongo ya njaa njaa sidhani kama inawezekana.
Ninaloliona mimi kwa mwono wangu CHADEMA kama si kuunganisha nguvu na vyama vingine ndoto ya kuipiku CCM madarakani ni kama ile ya Kimweri na Majitu ya Vuga. CHADEMA itahitaji kutumia nguvu kubwa na bila kusahau uwezo wa kifedha na je huo wizi wa kura wa CCM wataukomeshaje?
Lengo ni kuwaongoza Watz ktk njia iliyonjema bila kujali mmepata ridhaa hiyo kwa kuungana. Sina nia ya kutokomeza upinzani Tz bali naona jitihada za kuiondoa CCM itachukua muda mrefu kidogo.
Hilo ni wazo la mpita njia tu.
Ukifanya mahesabu kwa ukaribu ukaangalia matokeo ya chaguzi nyingi mfano Igunga; Kama mfano: vyama vya upinzani wangekuwa wamemsimamisha mtu moja naamini ushindi pale ungepatikana. Lkn uwezo wa kuwafanya wote wakubaliane kufanya jambo mmoja kwa mazingira ya kibongo ya njaa njaa sidhani kama inawezekana.
Ninaloliona mimi kwa mwono wangu CHADEMA kama si kuunganisha nguvu na vyama vingine ndoto ya kuipiku CCM madarakani ni kama ile ya Kimweri na Majitu ya Vuga. CHADEMA itahitaji kutumia nguvu kubwa na bila kusahau uwezo wa kifedha na je huo wizi wa kura wa CCM wataukomeshaje?
Lengo ni kuwaongoza Watz ktk njia iliyonjema bila kujali mmepata ridhaa hiyo kwa kuungana. Sina nia ya kutokomeza upinzani Tz bali naona jitihada za kuiondoa CCM itachukua muda mrefu kidogo.
Hilo ni wazo la mpita njia tu.