Naamin kwenye siasa hakuna adui wa kudum.cuf na cdm mkiungaNa kuna asilimia kubwa ya kuwaondoa ccm madarakan.
Kuna ndoa ya wake wengi ila hakuna ndoa za waume wengi kamwe.
CUF ameolewa na CCM hwezi kuolewa tena na CDM.
Ni afadhali CHADEMA waungane na CCM (yes, ccm) kuliko kuungana na CUF.
Historia ya CUF is very shaky kuanzia kwa mzee Jumbe hadi kwa Hamadi Rashid. Na sasa hivi wataungana na CUF ipi? CUF ya Maalim Seif au CUF ya Barwan? Na nani anajua CUF ya Maalim Seif ina makusudio gani na nchi hii?
Mkuu Thinka, ombi lako lipeleke kwanza radio iman na radio kheri. Pamoja na kwamba wazo lako siliungi mkono radio iman hawatakubali hata kidogo na kw ama wewe ni mtafiti na mfuatiliaji utaelewa ni kwa nini nasema hivyo
Interesting lol..
Hakuna sababu ya kuungana kwa sasa, kila moja a fight kivyake kila chama kiwe na wabunge 100 wa kuchaguliwa ndio hizo ndoto zianze kufikiriwa..
Of course tunajua kwamba Chadema wanaiogopa CUF kuliko CCM
Vipi radio Maria na Wapo; watakubali chadema kuungana na CUF?
Nakubaliana na wewe kabisa. CHADEMA hawahitaji chama chote ku-fix nchi. Nguvu ya umma na mungu that's what CHADEMA wanahitaji. basi.