Bw. Msando, kiswahili sanifu ni Maskini au Fukara?...... Pili, ni Mwendawazimu au Kichaa? au both! lol
Fukara
Mimi nafikiri the way maneno yametumika ujumbe umefika na kwa wakati kama huu ambao muda wa ukombozi unakuwa mdogo zaidi ( kabla ya kusema sasa basi liwalo na liwe ) tusiangalie neno gani limetumika na ilimradi sio tusi it has no problem.
Shida ya watu ambao sio serious ni kuamisha watu katika flow nzuri ya fikra za kimaendeleo na kuwaingiza kwenye discussion yenye harufu ya kitaarabu flani.