- Thread starter
- #81
Hujanielewa kwangu wote hao ni wetu tu lakini huwezi kulinganisha na mwizi m Iran RA kwa hilo sijifichi hata uniite mbaguzi sawa wewe nenda kagombee ubunge Iran au India kama hautatemewa mate usoni.Kwa hiyo EL alivyopakua sawa tu siyo, Liyumba sawa na hata bilal sawa tu...kazi kwelikweli
Ndio maana mapambano yenu cdm yenye malengo ya kibaguzi hayatafika mbali..ni illusion tu.
Back to topic faida za katiba mpya vs katiba iliyopo...