Nashindwa kuelewa chama cha cuf kina matatizo gani? Kwa nini wafuasi wake wengi ni kundi la watu mbumbu wasio na uwezo wa kufikiri wala kutafakari na watu wasio nakazi wakaa vijiweni kama huamini nenda manzese darajani kuna tawi pale kika na kuwasikiliza utasema CUF ni chama chenye nguvu kumbe ni chama kinachosubiri siku zifike kifutike?
Mkuu' nadhan kukosa kazi na vitu vingine vinavyofanana na hvyo siyo swala kubwa sana kwani chama kinatakiwa kiwe na wanachama wa mbika(aina) zote' Tatizo la wafuasi wa Cuf nadhani ni uwezo mdogo wa kukitanua chama hapa tatizo kubwa ni uwezo wa kushauri na kubuni mbinu za kukikuza chama inawezekana hii ndiyo sababu ya Cuf kurudi nyuma/kuzidi kufifia hapa Tanganyika!