CUF kulikoni?


Mkuu' nadhan kukosa kazi na vitu vingine vinavyofanana na hvyo siyo swala kubwa sana kwani chama kinatakiwa kiwe na wanachama wa mbika(aina) zote' Tatizo la wafuasi wa Cuf nadhani ni uwezo mdogo wa kukitanua chama hapa tatizo kubwa ni uwezo wa kushauri na kubuni mbinu za kukikuza chama inawezekana hii ndiyo sababu ya Cuf kurudi nyuma/kuzidi kufifia hapa Tanganyika!
 
Mfumo Kristo unamaanisha nini?, usituletee story za kwenye mihadhara mnayofanya manzese. km mlishindwa kuchakalika na maisha mkaishia vijiweni huo ni ujinga wenu. Tuacheni na imani yetu, huwa tunawasikia sana kwenye mihadhara yenu, ila tunawapotezea tu coz tunajua ukristo haujawahi kushindwa, haujashindwa wala hautakuja kushindwa kwa sababu tu ya mihadhara ya kipuuzi ya watu wenye upungufu wa mawazo. Km unaongea siasa ongea siasa, ila usiguse imani za watu. hili ni jukwaa la siasa.
 
dah, bonge la bias ktk research yako. nenda arusha mitaa ya unga limited utawakuta wavuta bangi ndo wanazi wakubwa wa CDM yako. nenda moshi kwenye vilabu vya mbege, nenda milembe hospital afu uje na hizo outcomes zako kama hujachekwa humu.
mwambie huyo punguwani,nahisi amevimbewa mbege.
 
HV TLP bado ipo? du bora CUF jamani kuliko TLP!
 
hii thread itafungwa muda si mrefu.
 
Nenda pia kariakoo utakuta wazee wamekaa tangu saa 1 asubuhi wanakunywa kahawa mpaka jioni hata sijui kazi wanafanya saa ngapi, tawi lipo pale zinapo park daladala za k/koo Mbezi au Mwenge

Wazee wa mjin hao.mwisho wa mwez wanapokea kod zao kaz ya nn sasa
 
Ok unsema ni matokeo ya mfumo wa kikristo, kwani kikwete hajauona?
 

Hiyo inatosha kukihukumu chama?
 
Huu sasa ndio ule ubaguzi tunaoukataa, ok wewe chama chako ni cha wasomi je kwa kula za wasomi pekee au wafanya kazi ndizo zitawaletea ushindi. Kama hawajaja kukuomba chakula kinakuuma nini wao kuwa washabikia cuf?

Bonge la swali!!!
 
CUF vs Chd ndani ya uzi huu,kwa hali hii 2tegemee giza mbele.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…