Kiby
JF-Expert Member
- Nov 16, 2009
- 6,932
- 4,697
- Thread starter
- #21
Mkurugenzi anaendelea kuwa serikali imewajengea machinga machinga complex maeneo ambayo sii mazuri kwa biashara zao. Ilipaswa serikali inunue kiwanja katikati ya jiji kuwajengea complex. Kama kungekuwa na mbunge mgendereko wasingefanyiwa hivyo. Inahitajika mbunge mgengereko. Watu wasiojua kabisa jinsi uhuru ulivyopiganiwa wamekuja mjini na kwa sasa wanawadharau wagengereko na wazaramo. Barabara ya kwende kusini imeshindikana kwa miaka 51 kukamilika. Bei ya soko la korosho haijulikani lakini cha kushangaza bei za kahawa zinajulikana. Naendelea kusema kuwa nyumba zemeandikwa msajili wa majumba na nyumba zenyewe zimenyanganywa kwa Murji sijui nani. Watu wa mwambao walinyanganywa na hata sasa bado wananyanganywa nyumba kwa kusukumwa mbali na mji.
.
.