Kiby
JF-Expert Member
- Nov 16, 2009
- 6,932
- 4,697
Naona chama cha wananchi cuf kwa sasa hivi wana mkutano katika viwanja vya soko kuu kariako. Anaezungumza kwa sasa ni mtu anaejitambulisha kama mchungaji naona anamshambulia Dr Slaa na Chadema.
Umati wa watu wa Kariakoo ni kama hawawapi usikivu wowote kila mtu anaendelea na shughuli zake. Hivyo wale waliojikusanya kuwasikiliza wazungumzaji ni kama watu 70 to 80 hivi. Maspika ndoo yamebaki kuvuma ndani ya soko hadi watu hawasikilizani.
My take; Cuf wametumwa dakika za mwisho kupunguza moto wa mkutano wa wapinzani kesho?
.
.
Umati wa watu wa Kariakoo ni kama hawawapi usikivu wowote kila mtu anaendelea na shughuli zake. Hivyo wale waliojikusanya kuwasikiliza wazungumzaji ni kama watu 70 to 80 hivi. Maspika ndoo yamebaki kuvuma ndani ya soko hadi watu hawasikilizani.
My take; Cuf wametumwa dakika za mwisho kupunguza moto wa mkutano wa wapinzani kesho?
.
.