Sasa ni dhahiri tumeona Serikali zinazoitwa za umoja wa kitaifa zina lengo la kuua upinzan.tumeona jambo hili kenya na sasa zimbabwe. Mh Tsvangira wa MDC amepoteza viti na kura hata maeneo ambayo yalikuwa ni ngome yake.mpaka jana tumeona akiwa nyuma kwa mbal sana wakat chama cha Zanu PF cha Mugabe kikiwa na viti 52 ktk 62.nliwah kusema yaliyompata ungo na kibeku pia yatampata.baada ya uchaguz wa kenya tuliona Mh Raila Odinga akiwa amepoteza pia. Nchin Tanzania tunaona chama cha CUF baada ya kujiunga na CCM jinsi kinavyopoteza umaarufu. Hii maana yake nin?wananch wanapoona mpinzan anajiunga na chama Tawala naye anakuwa mmoja wao aidha akionesha uchu wa madaraka au kukosa msimamo.Hili ni somo kwa vyama vyetu vya upinzan Afrika.lazima tubadilike ama sivyo upinzan unauawa pasipo sisi kujua. Binafsi mimi huwa napinga huu Muungano unaoitwa wa Serikali ya Mseto.kama chama kimeshndwa kishindwe na kikubali matokeo. CUF kimepoteza mwelekeo wa kisiasa. tunaona jinsi ambvyo Mh Hamad amelewa madaraka alichokuwa anakitaka angalau kapata nusu sasa hana hoja. Prof Lipumba amekuwa msomi anayeidhalilisha Taaluma yake anatoa matamko yasiyoendana na hadhi ambayo tulitegemea angekuwa nayo. Amekuwa hajielew ni kama mtu Aliyevurugwa akil. CCM haijal watoto wa kambo( inatesa wana CUF) Tulitegemea baada ya ndoa wanachama wa CUF wangeheshimiwa imekuwa kinyume msome msikie Mtatiro akilalamika kila siku juu ya wanachama wa CUF kuteswa huko Mtwara. Wananch itafikia hatua watachoka na kuhamia CCM au Chama kingime cha upinzan ambacho kitabak kuonekana ni cha ukomboz kwao. Tukatae hizi Serikal za Kinafiki Zinazoitwa za Umoja wa Kitaifa Huwez kubali kujiunga na shetan eti kwa vile yeye anaonekana uovu wake umekuwa mwing zaid kwa hiyo ili wafuasi wake na wako wasigombane basi Muwe na ushirikiano...