Ernesto Che
JF-Expert Member
- Jan 7, 2011
- 1,114
- 293
tatizo hapo ni cdm kuchanganya siasa na dini
Miskitini kuna bendera za CUF au hilo ni sawa. Ni kanisa lipi lina bendera ya CDM. Marehemu CUF pole sana
tatizo hapo ni cdm kuchanganya siasa na dini
dua za vinega hizo,cuf bado ngangari.Umeona mapokezi ya profesa wa ukweli hadi mzinzi naye kaenda kujipitisha aonekane
kampeni za kanisani tumeona uchaguzi mkuu 2010
Mbona sisi hatusemi kuwa Lipumba anataka kuwa Mufti wa Bakwata?tatizo hapo ni cdm kuchanganya siasa na dini
In General CUF ni chama cha wafuga MidevuWafuasi zaidi CUF wanakimbia,mana CUF ni chama cha wapemba.
DAKU tayari njoo ule!cuf imejidhihirisha kweli ni chama makini na hii inatokana na kuwa na viongozi makini Prof Lipumba na Maalim seif toka mfumo wa vyama vingi uanze cuf kimekuwa kikishirikiana na vyama vyote lakini chama cdm kilipopata nguvu kidogo na kutimiza idadi ya kuunda kambi ya upinzani bungeni kimeleta ubaguzi mkubwa, na hii yote inatokana na asili ya muasisi wa chama hicho tunajua anatoka sehemu gani na wafuasi wake, pamoja na kusaidiwa na taasisi moja ya kidini bado chama kinaendelea kujichafua mbele ya macho ya jamii kwa jinsi hii cuf wasifikirie wala kudhani kushirikiana na chama hicho.
cuf imejidhihirisha kweli ni chama makini na hii inatokana na kuwa na viongozi makini Prof Lipumba na Maalim seif toka mfumo wa vyama vingi uanze cuf kimekuwa kikishirikiana na vyama vyote lakini chama cdm kilipopata nguvu kidogo na kutimiza idadi ya kuunda kambi ya upinzani bungeni kimeleta ubaguzi mkubwa, na hii yote inatokana na asili ya muasisi wa chama hicho tunajua anatoka sehemu gani na wafuasi wake, pamoja na kusaidiwa na taasisi moja ya kidini bado chama kinaendelea kujichafua mbele ya macho ya jamii kwa jinsi hii cuf wasifikirie wala kudhani kushirikiana na chama hicho.
Wewe Mkuu in and out umetumwa wala si mpenda maendeleo ya nchi hii ya Tanzania umetoka kambi ya adui!!!! Maana nia yako si kuleta umoja bali ni kubomoa misingi ya umoja wetu!!!!!!!!!!!Watanzania hatuna ugomvi wa vyama panapohitaji kushirikiana tanafanya hivyo!!!! Sera zetu ndio ufumbuzi wa maendeleo ya nchi yetu, tushirikiane kwenye katiba mpya tukomboe taifa letu!!!!!cuf imejidhihirisha kweli ni chama makini na hii inatokana na kuwa na viongozi makini Prof Lipumba na Maalim seif toka mfumo wa vyama vingi uanze cuf kimekuwa kikishirikiana na vyama vyote lakini chama cdm kilipopata nguvu kidogo na kutimiza idadi ya kuunda kambi ya upinzani bungeni kimeleta ubaguzi mkubwa, na hii yote inatokana na asili ya muasisi wa chama hicho tunajua anatoka sehemu gani na wafuasi wake, pamoja na kusaidiwa na taasisi moja ya kidini bado chama kinaendelea kujichafua mbele ya macho ya jamii kwa jinsi hii cuf wasifikirie wala kudhani kushirikiana na chama hicho.