Tuache Haya Maneno Yasioitajika Katika Siasa. Wananchi Tumeuliza Maswali na Wanachama wa CUF Hamtaki Kujibu. Watanzania Tunajua CUF ni Chama Kilicho na Nguvu Huko Visiwani. Tunachokifahamu ni Kwamba CUF Inataka Tanzania Visiwani Wajitenge na Hii Ndio Ilikuwa Tatizo Huko Zanzibar kwa Miaka Karibu Kumi. Kila Mtanzania Anaefuatilia Maswala ya Siasa Tanzania Ataona Jinsi Gani Wananchi Wamefanya Kila Njia Kuzuia Vita na Fujo Huko Visiwani na Hata EU Countries na US Walihusika Kutuliza Hayo Matatizo. Kwa Wana-CUF Kujifanya Kwamba Bara Hatukumbuki Nini Historia ya CUF! Kama Kweli CUF Ilikuwa na Msisimko Kiasi Hicho Mbona Hatukuona Huku Bara? Au Matatizo na Umaskini wa Watanzania Bara Hauhitajiki Kupiganiwa? Wengi Tunajua CUF Ipo Weak Bara na CCM Inawatumia na Ku-make Deals Kumaliza Upinzani na Hii ni Fact.
Swala Jingine Tunaliona Hapa Katika Majadiliano ya Kijamii ni Kwamba, CCM na JK Wametumia Maneno ya "Udini Inchini" ili Kuwavuruga Watanzania Wasio na Upeo wa Kitanzania. Tanzania Haina Udini na Haitakuwa na Udini Hata Mara Moja. Ni Makosa kwa Kikwete Kubring Up "Udini Statement" Katika Hotuba Yake. Wananchi Walipiga Kura Kwa Mgombea Fulani Sio Kwa Ajili ya Dini Yake Ila Kuibadilisha Inchi Yao. Tunajua CCM Wanapata Support Kubwa kwa Wasiosoma na Mambumbu Inchini na Hii Ndio Sababu JK Anapenda Kuongea Nao. Tuache Maneno ya Kuleta Udini Katika Hoja. Jitetee na Leta Sera Tunazoulizana ili Kujenga. Kama Chama Kinatatizo la "Image" ni Kazi ya Viongozi Kuirekebisha na Kuimarisha Chama Chao ili Mkristo, Muislamu na Asie na Dini Ajisikie Anakaribishwa. Ideas Ideas Please.......Tutaharibu Mtandao na Majariidiano.
"Udini Haukuleta Umaskini na Kukosekana Kwa Maendeleo Tanzania Ila ni Uongozi Mbaya na Sera Mbovu za CCM Ndizo Zinaimaliza Inchi Mpaka Leo Hii"
Swala Jingine Tunaliona Hapa Katika Majadiliano ya Kijamii ni Kwamba, CCM na JK Wametumia Maneno ya "Udini Inchini" ili Kuwavuruga Watanzania Wasio na Upeo wa Kitanzania. Tanzania Haina Udini na Haitakuwa na Udini Hata Mara Moja. Ni Makosa kwa Kikwete Kubring Up "Udini Statement" Katika Hotuba Yake. Wananchi Walipiga Kura Kwa Mgombea Fulani Sio Kwa Ajili ya Dini Yake Ila Kuibadilisha Inchi Yao. Tunajua CCM Wanapata Support Kubwa kwa Wasiosoma na Mambumbu Inchini na Hii Ndio Sababu JK Anapenda Kuongea Nao. Tuache Maneno ya Kuleta Udini Katika Hoja. Jitetee na Leta Sera Tunazoulizana ili Kujenga. Kama Chama Kinatatizo la "Image" ni Kazi ya Viongozi Kuirekebisha na Kuimarisha Chama Chao ili Mkristo, Muislamu na Asie na Dini Ajisikie Anakaribishwa. Ideas Ideas Please.......Tutaharibu Mtandao na Majariidiano.
"Udini Haukuleta Umaskini na Kukosekana Kwa Maendeleo Tanzania Ila ni Uongozi Mbaya na Sera Mbovu za CCM Ndizo Zinaimaliza Inchi Mpaka Leo Hii"