Jana kuliulizwa swali na munir zakaria wa channel 10
"Mh rais, Chama chako kilitoa tamko kwamba waziri wa sheria na katiba ndugu Abubakar ajiuzulu.
tamko hilo lilitolewa na naibu katibu mkuu wa ccm Zanzibar. nini kauli yako"
Hilo ni tamko lake, CCM haijawahi kukaa kikao cha maamuzi kama hayo.
Hayo ni mawazo yake binafsi na sio ya CCM, Kamuulizeni mwenyewe alikuwa nania gani? CCM haijawahi kukuatana
Abubakkar na maalim seif walionyeshwa wakicheka
CCM katika taarifa yake ilidai CUF ianhusika na uamsho"
"Mh rais, Chama chako kilitoa tamko kwamba waziri wa sheria na katiba ndugu Abubakar ajiuzulu.
tamko hilo lilitolewa na naibu katibu mkuu wa ccm Zanzibar. nini kauli yako"
Hilo ni tamko lake, CCM haijawahi kukaa kikao cha maamuzi kama hayo.
Hayo ni mawazo yake binafsi na sio ya CCM, Kamuulizeni mwenyewe alikuwa nania gani? CCM haijawahi kukuatana
Abubakkar na maalim seif walionyeshwa wakicheka
CCM katika taarifa yake ilidai CUF ianhusika na uamsho"