Hii ni mpya. Mwenyekiti Ibrahim Lipumba aliposikia Lowassa kachukua fomu za kugombea urais alisema kuwa inashangaza kuona wezi ambao wanatakiwa wawe rumande ndio wanaotaka kuwa rais wa nchi kupitia CCM. Sasa huyu anayemkaribisha Lowassa ndani ya CUF sijui kaona upepo gani. Au ndio kutafuta kura kwa gharama yoyote hata kama ni kukana maneno yako?