CUF: CCM imemuonea Edward Lowassa

CUF: CCM imemuonea Edward Lowassa

Rudini studio mkjipange upya hapa naona muongozaji hakuwa makini
 
Hii ni mpya. Mwenyekiti Ibrahim Lipumba aliposikia Lowassa kachukua fomu za kugombea urais alisema kuwa inashangaza kuona wezi ambao wanatakiwa wawe rumande ndio wanaotaka kuwa rais wa nchi kupitia CCM. Sasa huyu anayemkaribisha Lowassa ndani ya CUF sijui kaona upepo gani. Au ndio kutafuta kura kwa gharama yoyote hata kama ni kukana maneno yako?

kama Lowasa hakuwahi kushitakiwa kama kina mramba utasemahe yy ni fisadi ili hali ufisadi huo unatajwa kwenye media? huoni labda Lowasa ananfichia mtu mwingine maovu!
 
Back
Top Bottom