Steven Robert Masatu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2009
- 2,458
- 1,826
Swali la msingi sana ulilouliza, why only him and not other 36 candidates, who is complaining about that goli la mkono of Kamati ya maadili?
Chama cha CUF, kimeibuka na kumtetea aliyekuwa Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa kwamba Chama Cha CCM kilimuonea kwa kukata jina katika ngazi ya Kamati ya Maadili na kushindwa kulifikisha Kamati Kuu ya CCM (CC).
Kadhalika, CUF kimesema kipo tayari kumpokea Lowassa ndani ya chama hicho kwa kuwa ni msafi na hajawahi kufikishwa hata mahakamani kwa ajili ya kushitakiwa kutokana na madai ya rushwa.
Chanzo: Nipashe
We unamjua nani mwingine alikatwa?hivi ni Lowassa tu ndiye aliyekatwa kati ya wale 37?!
Mkuu, meza taratibu iingie vizuri, dawa kali sana hii.Hii ni mpya. Mwenyekiti Ibrahim Lipumba aliposikia Lowassa kachukua fomu za kugombea urais alisema kuwa inashangaza kuona wezi ambao wanatakiwa wawe rumande ndio wanaotaka kuwa rais wa nchi kupitia CCM. Sasa huyu anayemkaribisha Lowassa ndani ya CUF sijui kaona upepo gani. Au ndio kutafuta kura kwa gharama yoyote hata kama ni kukana maneno yako?
Nipashe kazi mnayo. Huyo hasafishiki. Kwisha!
Hawa CUF naona wananjaa kali sana na wanachama na hasa hasa Tanganyika kwa kiasi kikubwa CUF ipo Zanzibar sasa naona wanatafuta wanachama kwa njia yoyote huku Tanganyika hata kama wanachama wenyewe watakuwa sio waadilifu inashangaza sana kama hata CUF Wataona Lowasa hana matatizo ya kimaadili na hasa ufisadi. OK hawakubaliani na ripoti ya Mwakyembe sasa hata ile orodha ya mafisadi iliyotajwa na Dr Slaa pale Mwembeyanga nayo hawakubaliani nayo??
CUF wanasema Lowasa kaonewa kwenye mchakato wa kumpata mgombea urais nataka tu watueleze wakati wa kuteua mgombea uraisi kwenye CUF Lipumba alishindanishwa na nani???
Halafu waseme pia ni kitu gani kilimfanya Profesa Abdalah Safari akakimbilia Chadema