Naona fikra kiduchu ndizo zinazokuhangaisha. Kama ungekuwa na upeo thabiti ungaliona jinsi katiba inavyonyong'onywezwa na kufinyangwa. Mwanzoni mlinyanyasa sana Mzee James Mapalala mpaka akakata tamaa na akaamua kuondoka, lakini kwa huu mziki ulivyo mnene, HATOKI MTU!
Mbona mnapata shida kubwa wakati adui mkubwa wa CUF Anajulikana ni nani? I mean adui mkubwa wa siasa za upinzaniNaona fikra kiduchu ndizo zinazokuhangaisha. Kama ungekuwa na upeo thabiti ungaliona jinsi katiba inavyonyong'onywezwa na kufinyangwa. Mwanzoni mlinyanyasa sana Mzee James Mapalala mpaka akakata tamaa na akaamua kuondoka, lakini kwa huu mziki ulivyo mnene, HATOKI MTU!
Wanajipa moyo tu., kwisha habari yake, ndembe ndembe chaliii
Mpe jina huyo adui, manake siasa za bongo kila mtu aweza kuwa adui yako na angalizo ni kwamba katika siasa hakuna adui wa kudumu bali kuna maslahi ya kudumuMbona mnapata shida kubwa wakati adui mkubwa wa CUF Anajulikana ni nani? I mean adui mkubwa wa siasa za upinzani
chadema kutoka kupigania demokrasia hadi kukandamiza demokrasia...kisa tu hawa wabara wako tofauti na Sultani Seif?Safari unayofika salama salimia kwenye mabus yetu jua wazi kuna ushirikiano mkubwa wa dereva na kondakta
Lakini pia hata kwenye vyombo vya majini na angani ambako huko kondakta ni co-pilot
Ndani ya familia ni Vilevile lazima kuwe na maelewano kati ya baba na mama
Kwenye siasa kuna watu wawili muhimu sana mwenyekiti na katibu! Hawa lugha zikianza kupishana tuu lazima chama kiyumbe
Mwenyekiti wa CUF alijiuzuru wazifa wake katika kipindi ambacho chama kilikuwa kinamhitaji mno..yani ni sawa na dereva kumuachia kondakta gari kwenye mteremko ! Kujiuzulu kwake kwa barua rasmi ni haki yake ya kikatiba
Maalim Seif kwa uvumilivu mkubwa na umahiri pia kwa kushirikiana na viongozi wengine ndani na nje ya chama wakavuka salama japo wakiwa majeruhi wa majeraha yaliyosababishwa na mwenyekiti wa chama aliyejiuzulu kwa ridhaa yake mwenyewe
CUF mizizi yake iko visiwani na kule kimeendelea kuwa chama imara chini ya Maalim Seif ambaye amevumilia vishindo vingi vizito sana... Cuf Zanzibar ndio inaibeba Cuf bara
Kitendo cha Prof Lipumba Kujiuzulu kipindi kile cha uchaguzi kilichukuliwa kama ni usaliti kwa CUF visiwani na tangu hapo viongozi wengi wa bara hawakuaminika tena na wenzao wa visiwani
Mkakati wa Lipumba kutaka kurudi kwenye nafasi aliyejiuzulu kwa hiari ni kama pigo la mwisho la kutaka kuisambaratisha CUF kabisa
Maalim Seif ameshaliona hilo na kwa sasa inabidi achukue maamuzi ya kitemi ili kukinusuru chama, wabara inabidi wamsikilize Maalim kuliko Lipumba na genge lake ! Wakishupaza shingo chama kitasambaratika huku bara
Aisee tatizo la hivi vyama mbadala havitaki ufikiri tofauti na wanavyofikiri wao lazima wakuvue uanachama...ndo maana hii demokrasia wanayopigia kelele tunajua ni kutafuta kiki tu baada ya kuishiwa hoja ya maanaKaamua kumtumikia shetani
Unaona sasa akili zenu nyie BavichaEndapo itathibitika sakaya si mwanacuf,uchaguzi jimboni kwake iwekwe kambi kuhakikisha anapotea na profesa wake.
Tatizo kubwa ni kufikiri unavyotaka halafu kutuletea majibu bila kuyapima kama haya yanafaa kiliwa na member sijui umepatwa na ugonjwa gani....huu ugonjwa naona umewapata watu wengi sana mliokuwa mnasapoti mabadiliko ya kuzungusha mikonoCcm inajua wazi nguvu ya CUF visiwani na nguvu ya CHADEMA bara ! Kushamiri kwa hivi vyama kila upande kwa vyovyote vile sio habari njema kwa ccm
Aisee...! Hivi huzioneagi huruma mb zako ?Tatizo kubwa ni kufikiri unavyotaka halafu kutuletea majibu bila kuyapima kama haya yanafaa kiliwa na member sijui umepatwa na ugonjwa gani....huu ugonjwa naona umewapata watu wengi sana mliokuwa mnasapoti mabadiliko ya kuzungusha mikono
Kua mvumilivi brother heshimu maamuzi ya LipumbaView attachment 389548we have been fooled
Ukiwa na mawazo tofauti na wenye chama jambo la haraka ni kukuvua uanachama. Hiyo turufu inawafanya wenye mawazo mbadala wawe na unafiki wa unyenyekevu.Aisee tatizo la hivi vyama mbadala havitaki ufikiri tofauti na wanavyofikiri wao lazima wakuvue uanachama...ndo maana hii demokrasia wanayopigia kelele tunajua ni kutafuta kiki tu baada ya kuishiwa hoja ya maana
Upeo wako ni mdogo., siku zote ni bora chama kuliko yooote hayo uliyoeleza, chama kibaki hai na salama kisiasa ndio kitu nyeti tunachoangalia.,
Tanzania ni kubwa, wasomi wapo wengi, there are so many Prof.Lipumba, hao kina Sekaya ndo kabisa, ni bora kujenga chama kikawa imara zaidi. Lipumba aanzishe chama chake na taasisi yake huko Bara, ukitaka kujuwa kilichomkuta HR Lipumba ni zaidi. HR alitarajiwa kuwa mrithi wa maalim seif leo Zanzibar ukimtaja HR hakuna anayemjuwa ni kwa sababu chama kilifanya maamuzi magumu na kuijenga CUF ya sasa.
CUF tokea imeanzishwa ni chama pekee cha upinzani Tz kilicho madhubuti na kinazidi kupiga hatua kila uchao. Katika taasisi hakuna mtu mkubwa zaidi kuliko taasisi, Lipumba alihisi CUF ni yeye na yeye ndo CUF. mwache ajifunze aendako. PUMBA TUPU UMEANDIKA
Hata Lowassa alisema hatoki CCM, tehe tehe tehe.Hata ZZK alisema hatoki CHADEMA.