CUF Arusha ngoma nzito, operation V4M yakwama

CUF Arusha ngoma nzito, operation V4M yakwama

Si waliwaahidi CDM kuwa wasahau AR?au bado wapo katika rehearsal?CUF wanasahau hizi mechi za kijinga zinawamalizia kabisa kisiasa.Bora wangeingia kimya kimya kwani hata wapita njia wangesimama kidogo na kujazia umati ambao ungepamba picture.Sasa hivi watu wakipita wanaona ni kelele na umbea.
 
Kiongo mmoja alisema pale jangwani eti 'waislamu woote jiungeni cuf!' halafu hajachukuliwa hatua. Je, niungana?
 
labda wakafanye mkutano msikiti wa bondeni tena wavizie ijumaa.wao walidhani sombetini kwa kuwa kuna waislamu wengi wakadhani watakua ni wanazi wa cuf by default!!?arusha ni chadema tu

haya mambo ya kidini sometimes tunayachukulia juu-juu lakini yana madhara sana

sijapenda comment yako
 
Uzuri wetu... akili zinatupelekea kwenye SIASA za MAKANISA na MISIKITI...
TUMESHAKUWA WAATHIRIKA WA "USE AND ABUSE" basi na tuyasubirie matokeo yake.
Hayo maneno bold yakamateni na punde si punde mtaja iona faida yake.
 
cha ajabu cuf wanachuki na cdm,kila jambo wanalofanya cdm cuf wanaponda.hivi hawajitambui kuwa mpinzani ni kufuatilia mambo yote yanayofanywa na chama kilichochukua madaraka???prof lipumba ni mjanja sana,hutakaa usikie anasema lolote kuhusu cdm,ila huwa nawaza endapo prof akiamua kwenye cdm kwenye upinzani wa kweli,nini itakuwa hatima ya cuf???maana jamaa anakibeba sana chama chao!
 
Lipumba yupo uswizi kondoka jumamosi saa tatu usiku hii ni kupitia intelejensia yangu nzito
 
Hivi baba na mama kama wote ni matahira mtoto anae zaliwa huwa na akili timamu....
anakuwa na akili kama za kamuhanda za kutoa matumbo ya watu nje, na akizeeka anakuwa kama ighondu, kung'oa kucha na meno ya watu bila ganzi! LORD HAVE MERCY!
 
HAHAHAHAHAAAHA ,. mapoyoyo hao wamezoea kufanya mikutano yao Ijumaaa, baada ya Swala ya Ijumaa ! na ndio maana ni ngumu kutofautisha mikutano ya CUF na il ya kina Shekhe Ponda a.k.a mkimbizi
 
Back
Top Bottom