Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,760
Hivi kafu kumbe ipo?
unajua ukimchinja kuku kisha ukamwachia ataendelea kurukaruka lakini kwa mtu mwenye akili timamu akimuona anajua kabisa hapa biasha imesha kamilika nimaji ya moto tu ndiyo yana subiriwa..