Marwa_J_Merengo
JF-Expert Member
- Aug 6, 2018
- 4,511
- 6,888
wadau naomba tuelezane ukweli hivi kweli mtu unaweza kutoboa maisha kwa kuwekeza kwenye cryptocurrency .
Nimeshangaa ethereum iliyokuwa imepanda mpaka $150 January 1 mwaka huu eti Leo iko $127 na inaendelea kushuka .
Sasa wanaofanya bishara hii ya hizi cryptocurrency wanafaidika chochote kweli maana mimi kwa mtazamo wangu naona pressure inaweza ikaniua endapo nikiwekeza huko
Nimeshangaa ethereum iliyokuwa imepanda mpaka $150 January 1 mwaka huu eti Leo iko $127 na inaendelea kushuka .
Sasa wanaofanya bishara hii ya hizi cryptocurrency wanafaidika chochote kweli maana mimi kwa mtazamo wangu naona pressure inaweza ikaniua endapo nikiwekeza huko