Cross road: Doctor vs Pharmacist

Medical Dictionary

JF-Expert Member
Mar 12, 2012
1,057
309
Heshima kwenu wakuu.

Mimi ni form 6 leaver nimesoma PCB na nikafanikiwa kufaulu vizuri. Nipo njia panda kwamba nichague faculty gani kati ya bachelor of pharmacy au doctor of medicine..naombeni mnishauri wakuu..kuhusu ipi naipenda zaidi? Zote nazipenda. Naombeni mnishauri kwakutumia criteria zifuatazo:

1. Ipi inalipa zaidi?
2. Ipi inamazingira mazuri zaidi ya kufanyia kazi?
3. Ipi ina marupurupu zaidi?
4. Ipi rahisi kujiajiri zaidi?
5. Ipi inademand kubwa zaidi kwenye soko la ajira?

Unaweza ongeza criteria nyingi
 
Am facing the same problem mkuu nakumbuka nimeshawahi kuleta topic kama hiyo humu jamvini wadau wakaniambia kwamba nifuate kitu ninachopenda ila mimi nilivyo dadisi kwa watu nimeona kwamba pharmacy inalipa zaidi in terms ya kujiajiri ukiacha vilevile na kuajiriwa pia coz wanasema cheti chako tu kinaweza kukuingizia pesa na bado pia hauja fungua duka lako na hapo pia ukiwa umeajiriwa..embu ngoja tusubiri wadau wengine watakacho changia
 
Am facing the same problem mkuu nakumbuka nimeshawahi kuleta topic kama hiyo humu jamvini wadau wakaniambia kwamba nifuate kitu ninachopenda ila mimi nilivyo dadisi kwa watu nimeona kwamba pharmacy inalipa zaidi in terms ya kujiajiri ukiacha vilevile na kuajiriwa pia coz wanasema cheti chako tu kinaweza kukuingizia pesa na bado pia hauja fungua duka lako na hapo pia ukiwa umeajiriwa..embu ngoja tusubiri wadau wengine watakacho changia

Pamoja mkuu. Ngoja niwasubiri wadau
 
Niliishia kudecide kwenda medicine sabab matokeo yangu ya biology yalikua mazuri sana compared to chemistry japo pia naweza chaguliwa pharmacy sabab pia nayo niliiweka katika selected programs.
 
Div 2. 11 unaongelea MD , pharmacy.
Aisee mlifaidi sana wakuu.
Nyakati sasa zimebadilika vibaya mno.
Two ya 11 sasa hivi husomi MD au B.pharm maana mtu utakuwa huna point 8..sema kufaulu zamani ulikuwa mbinde sana..Siku hizi hata shule za kawaida zina one zaidi ya 20 za PCB na PCM
 
Inategemea na background yako. Kama kwenu magetini na wazee wanaweza kukushika mkono ukapata kazi Agha Khan, AAR na vijihospitali vizuri vizuri au kama mnaweza kufungua hospitali yenu unaweza kusoma Medicine.

Ila kama wewe ni mwenzangu na mimi, Pharmacy itakusaidia kupata kasehemu ka kuanzia. Lakini kuna kozi wengi wanaisahau inaitwa Doctor of Dental Surgery (DDS). Iko vizuri sana, na Tanzania inapatikana only MUHAS
 
Back
Top Bottom