The case stands dismissed as it is frivolous and vexatious and is an abuse of the process of the Court.
Mmh(1) *Wakili:* Unakubaliana na mimi kuwa tuna maabara moja tu ya kupima virus vya Korona hapa Tanzania.
[emoji843] *Mheshimiwa* Ndio
(2) *Wakili:* Na unakubaliana na mimi kuwa mahabara hiyo ipo kwenye uchunguzi na hivyo haiwezi fanya kazi kwa Sasa
[emoji843] *Mheshimiwa* Ndio.
(3). *Wakili:* Unakubaliana na mimi pia hospitali zote pamoja na Aghakan na Regency zinaitegea maabara ya taifa kupima Virusi vya Korona.
[emoji843] *Mheshimiwa* Ndio.
(4). *Wakili:* Sasa mwambie mheshimiwa hakimu iliwezekana vipi Aghakan kutoa negative na muhimbili positive.
[emoji843] *Mheshimiwa:* Hata mimi mwenye ninashangaa imetokeaje.
(5). *Wakili:* Pia ieleze mahakama umejuaje kuwa wagonjwa wa wa Virusi vya Korona wamepungua ikiwa maabara ipo kwenye uchunguzi.
[emoji843] *Mheshimiwa:* Mhe. Hakimu ili swali gumu sana, ninaomba kwanza nishauriane na wataalamu wangu kabla ya kujibu swali hili.
Jr[emoji769]
Hayo ndio matokea ya kuua upinzani bado watu hawajaona mambo.*CROSS-EXAMINATION*
(1) *Wakili:* Unakubaliana na mimi kuwa tuna maabara moja tu ya kupima virus vya Korona hapa Tanzania.
[emoji843] *Mheshimiwa* Ndio
(2) *Wakili:* Na unakubaliana na mimi kuwa mahabara hiyo ipo kwenye uchunguzi na hivyo haiwezi fanya kazi kwa Sasa
[emoji843] *Mheshimiwa* Ndio.
(3). *Wakili:* Unakubaliana na mimi pia hospitali zote pamoja na Aghakan na Regency zinaitegea maabara ya taifa kupima Virusi vya Korona.
[emoji843] *Mheshimiwa* Ndio.
(4). *Wakili:* Sasa mwambie mheshimiwa hakimu iliwezekana vipi Aghakan kutoa negative na muhimbili positive.
[emoji843] *Mheshimiwa:* Hata mimi mwenye ninashangaa imetokeaje.
(5). *Wakili:* Pia ieleze mahakama umejuaje kuwa wagonjwa wa wa Virusi vya Korona wamepungua ikiwa maabara ipo kwenye uchunguzi.
[emoji843] *Mheshimiwa:* Mhe. Hakimu ili swali gumu sana, ninaomba kwanza nishauriane na wataalamu wangu kabla ya kujibu swali hili.
Cc
Mshana Jr
Seen...*CROSS-EXAMINATION*
(1) *Wakili:* Unakubaliana na mimi kuwa tuna maabara moja tu ya kupima virus vya Korona hapa Tanzania.
[emoji843] *Mheshimiwa* Ndio
(2) *Wakili:* Na unakubaliana na mimi kuwa mahabara hiyo ipo kwenye uchunguzi na hivyo haiwezi fanya kazi kwa Sasa
[emoji843] *Mheshimiwa* Ndio.
(3). *Wakili:* Unakubaliana na mimi pia hospitali zote pamoja na Aghakan na Regency zinaitegea maabara ya taifa kupima Virusi vya Korona.
[emoji843] *Mheshimiwa* Ndio.
(4). *Wakili:* Sasa mwambie mheshimiwa hakimu iliwezekana vipi Aghakan kutoa negative na muhimbili positive.
[emoji843] *Mheshimiwa:* Hata mimi mwenye ninashangaa imetokeaje.
(5). *Wakili:* Pia ieleze mahakama umejuaje kuwa wagonjwa wa wa Virusi vya Korona wamepungua ikiwa maabara ipo kwenye uchunguzi.
[emoji843] *Mheshimiwa:* Mhe. Hakimu ili swali gumu sana, ninaomba kwanza nishauriane na wataalamu wangu kabla ya kujibu swali hili.
Cc
Mshana Jr
Mteule mweledi na wa kufanya kazi kwa kutumia taaluma na miiko ya taslimu hawezi fanya kazi na wakuu wa nchi. Anaeweza ni yule atakaekubali kufunga mdomo na kusubiri kuambiwa la kufanya na yeye kutelekeza kama alivyo ambiwa.Jana kuna taarifa nimesoma inamhusu aliekua Naibu waziri wa afya Dkt. Ndugulile juu ya kujifukiza kisayansi, alaf ikatokea nafasi yake ikatenguliwa na kubaki bungeni tu kama kawaida. Swali langu hivi inawezekana baadh ya viongozi wanatupa taarifa zisizo sahihi? Iwe kwa manufaa yao au kwa nafasi zao za kuteuliwa??? Mfano kwa Mh. Waziri mama yetu Ummy Mwalimu.
(1) *Wakili:* Unakubaliana na mimi kuwa tuna maabara moja tu ya kupima virus vya Korona hapa Tanzania.
[emoji843] *Mheshimiwa* Ndio
(2) *Wakili:* Na unakubaliana na mimi kuwa mahabara hiyo ipo kwenye uchunguzi na hivyo haiwezi fanya kazi kwa Sasa
[emoji843] *Mheshimiwa* Ndio.
(3). *Wakili:* Unakubaliana na mimi pia hospitali zote pamoja na Aghakan na Regency zinaitegea maabara ya taifa kupima Virusi vya Korona.
[emoji843] *Mheshimiwa* Ndio.
(4). *Wakili:* Sasa mwambie mheshimiwa hakimu iliwezekana vipi Aghakan kutoa negative na muhimbili positive.
[emoji843] *Mheshimiwa:* Hata mimi mwenye ninashangaa imetokeaje.
(5). *Wakili:* Pia ieleze mahakama umejuaje kuwa wagonjwa wa wa Virusi vya Korona wamepungua ikiwa maabara ipo kwenye uchunguzi.
[emoji843] *Mheshimiwa:* Mhe. Hakimu ili swali gumu sana, ninaomba kwanza nishauriane na wataalamu wangu kabla ya kujibu swali hili.
Jr[emoji769]
Hapa ndo ule msemo wa ZA KUAMBIWA CHANGANYA NA ZAKO unapofaa kwa hali hii.Mteule mweledi na wa kufanya kazi kwa kutumia taaluma na miiko ya taslimu hawezi fanya kazi na wakuu wa nchi. Anaeweza ni yule atakaekubali kufunga mdomo na kusubiri kuambiwa la kufanya na yeye kutelekeza kama alivyo ambiwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mia.... SanitaizaMambo ya cross examination, ni balaaa. Lazima mtu ajichanganye.
Big up mkuu - Mshana Jr
Sent using Jamii Forums mobile app
HahahaaHaha haha, kuna times kwenye Cross examination huwa witness anajibu alafu anagundua amesha changanya mambo, hapo sasa Ndio mda wa Wakili kujichukulia credit kwa audience.
Sent using Jamii Forums mobile app
True manHaha haha, kuna times kwenye Cross examination huwa witness anajibu alafu anagundua amesha changanya mambo, hapo sasa Ndio mda wa Wakili kujichukulia credit kwa audience.
Sent using Jamii Forums mobile app