Crescentius Magori, ni nani kwenye serikali ya Magufuli?

Mkuu heshima yako, ungefunguka angalau kidogo hapo kwenye assassination plots dhidi ya Dr. Dau.

*Samahani lakini.

Hiyo iko too sensitive kwa sasa
uwaachie vyombo vya usalama vifanye kazi yake

Lakini news zingine ni hizi

MAGORI 3.PNG
MAGORI 2.PNG
MAGORI HOYCE TEMU.PNG
 
Magori, Jenista Mhagama, Abdallah Bulembo, Charles Kitwanga, Eric Shitindi sasa wako desperate

Hii ni ripoti ya 2010/11 na ilishajibiwa kwenye exit meeting na mkaguzi mkuu wa serikali

sasa ni 2016

Kwanza walianza na UDINI wakaambiwa leteni ushahidi wameshinwa kuleta Ushaidi

Pili wakasema Dau kajenga msikiti ofisini kwake na ndani ya jengo la Mkapa tower wakaambiwa leteni ushaidi hawana

Tatu wamekuja na daraja, wakaambiwa leteni ushahidi wa ufisadi kwenye daraja wameshindwa kuwasilisha

Sasa mbona hawasemi kuhusu assassination plots dhidi ya Dau au hiyo haifai kusemwa?





Mzee mtakuwa ndio nyinyi ambao mlikuwa mnapitia bahasha za kaki kule kwa DG
 
Ha
Rais wetu mpendwa hatukuwahi kusikia kashfa za magori kabla ya kutumbua dau,so pls maneno ya wawa mafirauni usiyaweke kikichwani piga kazi na magori ni jembe lako
Hahaaa, mtenda akitendewa eeeh. Itakuwa ni uzuzu (ambao naamini hana) kwa Magufuli kumteua Magori kuwa DG. Ateue mpiga kazi kutoka nje tu aje aendeleze mapinduzi kama Dau alivyoteuliwa kutoka nje.
 
Ha

Hahaaa, mtenda akitendewa eeeh. Itakuwa ni uzuzu (ambao naamini hana) kwa Magufuli kumteua Magori kuwa DG. Ateue mpiga kazi kutoka nje tu aje aendeleze mapinduzi kama Dau alivyoteuliwa kutoka nje.
Dau ulifanya mapinduzi ya mwisho,kama kweli ukifika mahali hawawezilipana mshahara au kulipa mafao ni mapinduzi makubwa
 
Dau umeshatumbuliwa na hata ukimchafua magori mitandaoni na vibaraka wako hutaweza kumshawishi JPM asimteue,ulifanya fitna alipoomba kazi Nhif kwa kumuandikia vibaya enzi za swahiba wako jk na yote hayo yanajulikana na jpm anakufahamu kuliko unavyofikiri hata alipomtuma binamu yake kwako umuajiri majibu uLoimpa binamu yake bado yako kwenye memory ya jpm,uliwahi mtamkia mtu alokuja kumuombea kazi kijana wa rafiki yake kuwa kama huyo ni mkristu huwezimpa kazi,dau dau dau madudu yako yote watu wanayo na faili ulopewa LA madudu yako tunajua kilichomo ndani yake dau
 
[Mambo binafsi hayana nafasi ktk kupewa shirikaUOTE="Ben Saanane, post: 15420413, member: 1098"]This is nonsense.

Yaani mtu unatumika kumchafua mtu ili asipate U-DG hata kwa kuokoteza habari za kijinga jinga tena za uongo tu. Yaani kumchafua mtu kwa gharama yoyote.Hapo NSSF mbona mnafanya mambo ya kipuuzi kwa sababu ya wivu na chuki tu?[/QUOTE]

Ni ujinga uliopitiliza kumsema magori kwa sababu eti ni Malaya mbona huyo anaewatuma kumchafua magori ana wanaume wengi tena wengine kawateua kuwa wasaidizi wake ili aweze kutimiza ufirauni wake,halafu mademu kibao mmojawapo ni Dada mmoja alilelewa na kitwana kondo anafanya kazi kampuni ya uhasibu na baadae nasikia alitolewa na jamaa wa huko huko Nssf,bila aibu anasafiri nae wakati wa hija wanaenda kujimwaga huku jamaa akijifanya kaenda kuhoji,mbona inajulikana lakini bado aliachwa kazini, M
 
This is nonsense.

Yaani mtu unatumika kumchafua mtu ili asipate U-DG hata kwa kuokoteza habari za kijinga jinga tena za uongo tu. Yaani kumchafua mtu kwa gharama yoyote.Hapo NSSF mbona mnafanya mambo ya kipuuzi kwa sababu ya wivu na chuki tu?
Inaonekana haya mashirika walijigawia kama Mali za Familia zao wapuuzi wakubwa
 
[Mambo binafsi hayana nafasi ktk kupewa shirikaUOTE="Ben Saanane, post: 15420413, member: 1098"]This is nonsense.

Yaani mtu unatumika kumchafua mtu ili asipate U-DG hata kwa kuokoteza habari za kijinga jinga tena za uongo tu. Yaani kumchafua mtu kwa gharama yoyote.Hapo NSSF mbona mnafanya mambo ya kipuuzi kwa sababu ya wivu na chuki tu?

Ni ujinga uliopitiliza kumsema magori kwa sababu eti ni Malaya mbona huyo anaewatuma kumchafua magori ana wanaume wengi tena wengine kawateua kuwa wasaidizi wake ili aweze kutimiza ufirauni wake,halafu mademu kibao mmojawapo ni Dada mmoja alilelewa na kitwana kondo anafanya kazi kampuni ya uhasibu na baadae nasikia alitolewa na jamaa wa huko huko Nssf,bila aibu anasafiri nae wakati wa hija wanaenda kujimwaga huku jamaa akijifanya kaenda kuhoji,mbona inajulikana lakini bado aliachwa kazini, M[/QUOTE]

Duh kumbe ni Mwanamke?
 
NSSF ndi waliotoa bilioni 200 kujenga daraja kigamboni
lakini mkandarasi alichaguliwa na wizara
labda hapo huyu ana kitu anakijua
je daraja lile ni la bilioni 200 kweli?
But nasikia Dr. Dau na Dr. Magu walitofautiana kuhusu nani wa kusimamia ujenzi wa hilo daraja,Dr. Magu alitaka lisimamiwe na wizara na Dr. Dau aligoma....
 
AMEVUNJA NDOA YA KIONGOZI WA SERIKALI YA MAGUGULI.....

Magazeti ya leo yamemwandika kuwa Kigogo wa NSSF Bwana Crescentius Magori alitakiwa kuwa ni mfano wa kuigwa kwenye utumishi wa Umma lakini hizi habari kuwa amevunja ndoa ya kiongozi mkuu kwenye serikali ya Magufuli zinatia kinyaa na ni kinyume na miiko ya maadili ya watumishi wa Umma.


Nadhani mmeona alivyoandikwa kwenye magazeti ya leo namna alivyofanya ufuska wake kwa akina Hoyce Temu lakini hii ya kuvunja ndoa ya kiongozi wa juu wa serikali ya Magufuli kwa kweli ni rafu ambayo sidhani kama ni mfano mzuri kwa jamii na shirika la hifadhi ya jamii kama NSSF

Huyu huyu magori msisahau kuwa alikuwa mjumbe wa bodi ya TPA ambayo ilitimuliwa na Mheshimiwa Rais Magufuli lakini cha ajabu wakati mwenzake ambaye alikuwa ni mfanyakazi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam alisimamishwa kazi, Mgori alifanya jitihada kupitia waziri wa kazi (Jenista Mhagama), Katibu mkuu wizara ya Kazi (Eric Shitindi) , Waziri wa Mambo ya Ndani (Charles Kitwanga) ku lobby kwa Magufuli asisimamishwe kazi na kweli hakusimamishwa kazi ili kupitisha uchunguzi ufanyike

Huyo ndio Crescentious Magori ambaye anatumia nguvu za zote kuwaendesha mbio mawaziri wa Magufuli mbaya wanafika mahala wanampa taarifa za uwongo. Na kwa bahati nzuri Mheshimiwa Magufuli ukweli anaujua na kawaambia wote hao kuwa yeye hataki porojo na maneno maneno yeye anachotaka ni watu wafanye kazi mwishowe wameamua kumtumia Abdallah Bulembo ambaye naye kafungiwa madirisha na Mtukufu Rais wetu kipenzi cha wananchi Mheshimiwa John Pombe Magufuli

Sasa nipeni muda niwaonyeshe mwongozo na miiko ya utumishi wa Umma unasemaje kuhusu namna wafanyakazi wa serikali wanavyotakiwa kujiweka mbele ya jamii. Na pia tukajua Huyu Magori amekiuka miiko ipi mpaka magazeti yakawa yana mwandika hivi.


magori-3-png.325670
magori-2-png.325671
magori-hoyce-temu-png.325672
 
Back
Top Bottom